Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) unafaida nyingi kwa watanzania ikiwemo:
1. Utoaji wa ajira, mpaka sasa mradi huu wa SGR umetoa ajira za moja kwa moja zaidi ya elfu 20 na kulipa mishahara ya dola za Marekani Milioni 102 ambazo ni sawa na Bilioni 238 za kitanzania
2. Mradi huo utaifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji pia kitovu cha biashara.
3. Vilevile mradi huo umetoa zabuni za dola za kimarekani milioni 820 kwa watanzania na kuiwezesha serikali kukusanya kodi yenye jumla ya dola milioni 450 sawa na Tsh 949 za kitanzania.
Rais Samia Suluhu alisema hakuna mradi uliosimama na kweli sisi ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea.
1. Utoaji wa ajira, mpaka sasa mradi huu wa SGR umetoa ajira za moja kwa moja zaidi ya elfu 20 na kulipa mishahara ya dola za Marekani Milioni 102 ambazo ni sawa na Bilioni 238 za kitanzania
2. Mradi huo utaifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji pia kitovu cha biashara.
3. Vilevile mradi huo umetoa zabuni za dola za kimarekani milioni 820 kwa watanzania na kuiwezesha serikali kukusanya kodi yenye jumla ya dola milioni 450 sawa na Tsh 949 za kitanzania.
Rais Samia Suluhu alisema hakuna mradi uliosimama na kweli sisi ni mashahidi tunaona utekelezaji unaendelea.