Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Hatupendi kupindisha haki.Wewe kamanda kwenye CHADEMA mna msimamo gani kuhusu hii kesi?
Huko kijani hamsomi alama za NYAKATI....sasa Kariakoo mchana saa sita unasema umejificha hawakuoniUlaya hakunaga kufichaficha🐼
Inaruhusiwa kabisa na ndio maana wamemshitaki.sasa mkuu mbona hiyo document inaonyesha mshtaki sio jamhuri bali ni mtu binafsi huyo Paul kwani sheria zetu zinaruhusu mtu binafsi kufungua mashtaka ya jinai? hiyo si kazi ya DPP kupitia polisi kwa ajili ya upelelezi au.!
ok,sasa hapo DPP akisema hana nia ya kuendelea na hiyo kesi kama ujuavyo mfumo wetu wa haki ulivyo..mahakama si itabidi iifutilie mbali hiyo kesi!Inaruhusiwa kabisa na ndio maana wamemshitaki.
Kisheria inaruhusiwasasa mkuu mbona hiyo document inaonyesha mshtaki sio jamhuri bali ni mtu binafsi huyo Paul kwani sheria zetu zinaruhusu mtu binafsi kufungua mashtaka ya jinai? hiyo si kazi ya DPP kupitia polisi kwa ajili ya upelelezi au.!
Na huo ndio ubovu wa katiba yetu ya nchi.Hakuna aliye juu ya SHERIA labda Kizimkazi.
Kwani Kesi hiyo imefunguliwa na DPP hadi afikie hatua ya yeye kusema kwamba hana Nia ya kuendelea na Kesi?ok,sasa hapo DPP akisema hana nia ya kuendelea na hiyo kesi kama ujuavyo mfumo wetu wa haki ulivyo..mahakama si itabidi iifutilie mbali hiyo kesi!