Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Leo, 20.08.2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imesajili (Admission No. 000058901) malalamiko (complaint) ya Wakili Kisabo dhidi ya Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) FATUMA KIGONDO ambaye ndiye “afande” aliyetuma genge lake la uhalifu kumbaka na kumlawiti JM.

Pia soma: 'Afande' aliyeagiza binti wa Yombo abakwe pamoja na mtuhumiwa wa 5 wako wapi? Kwanini wanamlinda kiasi hiki?


Pia soma
 
sasa mkuu mbona hiyo document inaonyesha mshtaki sio jamhuri bali ni mtu binafsi huyo Paul kwani sheria zetu zinaruhusu mtu binafsi kufungua mashtaka ya jinai? hiyo si kazi ya DPP kupitia polisi kwa ajili ya upelelezi au.!
 
ok,sasa hapo DPP akisema hana nia ya kuendelea na hiyo kesi kama ujuavyo mfumo wetu wa haki ulivyo..mahakama si itabidi iifutilie mbali hiyo kesi!
Kwani Kesi hiyo imefunguliwa na DPP hadi afikie hatua ya yeye kusema kwamba hana Nia ya kuendelea na Kesi?
Mtu aliyefungua Kesi Mahakamani ndiye mwenye mamlaka ya kusema kwamba Hana Nia ya kuendelea na Kesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…