TANZIA Mratibu wa Tasaf Wilaya ya Iramba, Adam Msangi afariki dunia ajalini

TANZIA Mratibu wa Tasaf Wilaya ya Iramba, Adam Msangi afariki dunia ajalini

balimar

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
7,743
Reaction score
13,657
Habarini Wadau

Tunasikitika sana Kuleta Tangazo la Kifo cha Ajali ya Gari iliyotokea leo Iguguno shamba high way ya Singida Mwanza.

Mr. Adam Msangi aliekuwa mratibu wa Tasaf Wilaya ya Iramba amefariki kwa ajali hiyo ya gari majira ya alfajili ya kuamka leo.

Inauumiza sana kwani Mratibu huyu ni miongoni mwa waratibu bora kabisa wa Miradi Mingi ya Tasaf wilayani Iramba na alishapata mafanikio makubwa kuisongesha Mbele Tasaf wilayani Iramba.

Tunawapa pole Mkuu wa Wilaya Iramba, Mkurugenzi Mtendaji (W), familia na wana Iramba kwa Ujumla kwa kuondokewa na Mpendwa wao.

Bwana ametoa bwana ametoa.

Screenshot_20210523-123654_WhatsApp.jpg

IMG-20210523-WA0034.jpg
 
Duh pole yake aisee , chanzo cha ajali ni nini ? Inaonekana alikuwa speed Sana .... R.I.P mratibu Bora according to mtoa mada .....
 
Pole Sana kwake nshawai kutana na huyu mdau Ni mtu Bora kabisa. mleta thread mbn hujasema chanzo Cha ajali
 
Hapa kwa haraka haraka, chanzo cha ajali ni mwendo kasi, bust ya tairi ya mbele upande wa dereva.

Unaweza ona upande imejivuta gari baada ya mbiduko wa wa ajali.
 
Back
Top Bottom