Mrejesho: Asante JF! TRC wawasha viyoyozi SGR Magufuli (Dar) na kwenye train leo njia nzima

Mrejesho: Asante JF! TRC wawasha viyoyozi SGR Magufuli (Dar) na kwenye train leo njia nzima

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
10,771
Reaction score
14,129
Great Thinkers,

Nipend kuchukua fursa hii kumshukutu Mkurugenzi wa TRC Kadogosa kwa kufuatilia na hatimaye kufanyia kazi kero ya viyoyozi jengo la abiria Kituo cha Magufuli, yaani mpaka tunaondoka hapo Dar kwenye jengo viyoyozi ndiyo vilikuwa vinaelekea kupata baridi, na kwenye train leo ni ajabu AC iko inafanya kazi.

Nadhani Mkurugenzi awe makini kuna wahuni wanamhujumu. Fuatilia kila kitu ndugu Kadogosa, Dkt Samia hachelewi kutoa mkeka!

Ushauri: Kama gharama za uendeshaji kubwa tunashauri bei ya safari iongezwe ili Watanzania tupate huduma nzuri kuliko tulipe kidogo halafu huduma mbovu. Mfano Dar-Moro iwe 30k bei ya chini na Dodoma iwe 50k na madaraja mengine bei iwe juu ili huduma ziwe nzuri.

Tuache akili za kuwaza umasikini eti watu hawana hela halafu tulipwa kidogo then huduma ziwe mbovu kama tunavyoteseka na mwendokasi ya Dar. Tusiwaendekeze bei ndogo huduma ziendane na uhalisia wa gharama.

Pia soma: KERO - Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi
 
Kwa waliosafiri na SGR ambayo imetuondolea adha ya kusafiri ndani ya mabasi masaa kumi na kuendelea huku abiria tukiteseka na mamuziki ambayo hayana kichwa wala miguu tena kwa sauti kubwa(noise pollution) ni vyema serikali ikaongeza nauli husika hata maradufu ili kuweza kuwepo na huduma bora zaidi.
 
Kwa waliosafiri na SGR ambayo imetuondolea adha ya kusafiri ndani ya mabasi masaa kumi na kuendelea huku abiria tukiteseka na mamuziki ambayo hayana kichwa wala miguu tena kwa sauti kubwa(noise pollution) ni vyema serikali ikaongeza nauli husika hata maradufu ili kuweza kuwepo na huduma bora zaidi.
Comment kama hii inatoka kwa wenye chuki na SGR wenye akili tumesha jua ....JANJA ZA WAHUNI KAMA HUYU MLETA COMMENT HII UKIMSIKILIZA UNAWEZA KUDHANI NITU MWEMA MWENYE KUPENDEZWA NA SGR KUMBE UKITUMIA AKILI.UNAONA WAZI UCHAFU
 
Great Thinkers,

Nipend kuchukua fursa hii kumshukutu Mkurugenzi wa TRC Kadogosa kwa kufuatilia na hatimaye kufanyia kazi kero ya viyoyozi jengo la abiria stand ya Magufuli, yaani mpaka tunaodoka hapo Dar kwenye jengo viyoyozi ndiyo vilikuwa vinaelekea kupata baridi, na kwenye train leo ni ajabu AC iko inafanya kazi.

Nadhani Mkurugenzi awe makini kuna wahuni wanamhujumu. Fuatilia kila kitu ndugu Kadogosa Dkt Samia hachelewi kutoa mkeka!

Ushauri: Kama gharama za uendeshaji kubwa tunashauri bei ya safari iongezwe ili watanzania tupate huduma nzuri kuliko tulipe kidogo halafu huduma mbovu. Mfano Dar Moro iwe 30k bei ya chini na Dodoma iwe 50k na madaraja mengine bei iwe juu ili huduma ziwe nzuri.

Tuache akili za kuwaza umasikini eti watu hawana hela halafu tulipw kidogo then huduma ziwe mbovu kama tunavyoteseka na mwendokasi ya Dar. Tusiwaendekeze bei ndogo huduma ziendane na uhalisia wa gharama

Pia soma: KERO - Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi
Hiyo nauli inatosha sababu umeme ni mafuu sana ukilinganisha na diesel, pia umeme tunao mwingi hadi unawagikia chini. Kuzima viyoyozi ni HUJUMA!!

Fukuza na peleka mahakamani wahusika wote waliozima viyoyozi!!
 
Great Thinkers,

Nipend kuchukua fursa hii kumshukutu Mkurugenzi wa TRC Kadogosa kwa kufuatilia na hatimaye kufanyia kazi kero ya viyoyozi jengo la abiria stand ya Magufuli, yaani mpaka tunaodoka hapo Dar kwenye jengo viyoyozi ndiyo vilikuwa vinaelekea kupata baridi, na kwenye train leo ni ajabu AC iko inafanya kazi.

Nadhani Mkurugenzi awe makini kuna wahuni wanamhujumu. Fuatilia kila kitu ndugu Kadogosa Dkt Samia hachelewi kutoa mkeka!

Ushauri: Kama gharama za uendeshaji kubwa tunashauri bei ya safari iongezwe ili watanzania tupate huduma nzuri kuliko tulipe kidogo halafu huduma mbovu. Mfano Dar Moro iwe 30k bei ya chini na Dodoma iwe 50k na madaraja mengine bei iwe juu ili huduma ziwe nzuri.

Tuache akili za kuwaza umasikini eti watu hawana hela halafu tulipw kidogo then huduma ziwe mbovu kama tunavyoteseka na mwendokasi ya Dar. Tusiwaendekeze bei ndogo huduma ziendane na uhalisia wa gharama

Pia soma: KERO - Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi
Kumbuka usafiri ni huduma, pia mabasi yapo bei ikizidi abiria wataenda kwenye usafiri wa mabasi nakushauri uwe unapanda first class
 
Great Thinkers,

Nipend kuchukua fursa hii kumshukutu Mkurugenzi wa TRC Kadogosa kwa kufuatilia na hatimaye kufanyia kazi kero ya viyoyozi jengo la abiria Kituo cha Magufuli, yaani mpaka tunaondoka hapo Dar kwenye jengo viyoyozi ndiyo vilikuwa vinaelekea kupata baridi, na kwenye train leo ni ajabu AC iko inafanya kazi.

Nadhani Mkurugenzi awe makini kuna wahuni wanamhujumu. Fuatilia kila kitu ndugu Kadogosa, Dkt Samia hachelewi kutoa mkeka!

Ushauri: Kama gharama za uendeshaji kubwa tunashauri bei ya safari iongezwe ili Watanzania tupate huduma nzuri kuliko tulipe kidogo halafu huduma mbovu. Mfano Dar-Moro iwe 30k bei ya chini na Dodoma iwe 50k na madaraja mengine bei iwe juu ili huduma ziwe nzuri.

Tuache akili za kuwaza umasikini eti watu hawana hela halafu tulipwa kidogo then huduma ziwe mbovu kama tunavyoteseka na mwendokasi ya Dar. Tusiwaendekeze bei ndogo huduma ziendane na uhalisia wa gharama.

Pia soma: KERO - Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi
Kama ni hujuma, bei inaweza pandishwa na huduma zikaendelea kuwa mbovu vile vile, ili tu kuhakikisha Sgr haipendwi na mwishowe kufa.

Huo ni mradi wa umma, kwanini usishauri Serikali itie ruzuku yake ili nauli zishushwe zaidi?
 
Kumbuka usafiri ni huduma, pia mabasi yapo bei ikizidi abiria wataenda kwenye usafiri wa mabasi nakushauri uwe unapanda first class
kweli kabisa akapande mchongoko mbona nauli poa tu 120,000/ Dar Dodoma na daraja letu ordinary 31,000/ Dar Dom
sisi wengine viyoyozi vinatuumiza, km usiku kuanzua Moro Killsa milima ya Gulwe wangejizimia tu maana pumu haitaki mabaridi hayo.
huu mtindo wa kuturudisha kwenye mabasi waache kabisa
 
Back
Top Bottom