Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Kiukweli ningefanya maamuzi ya kukurupuka, huwenda kwa sasa ningekua na adui moyoni ambaye kala vya kwangu na kukimbia..
www.jamiiforums.com
Baada ya washauri kuniambia ni achane na huyo pasua kichwa hakupendi, basi nikaamua kufunga wallet yangu vizuri.
Mapenz kwanza kuhongana baadae.
Naona kaamua kunikimbia bila kunipa taraka yangu kuwa tumeachana sikutaki.
Msaada wa mbinu ya kuruka Mtego
Iko hivi wadau, kuna Manzi mimi nilikua namuimba.. Karuka, na kudai tuwe marafiki. Nikaforce sana huo urafiki badae nikakata tamaa alikua anakwepa tusionane. Zilipopita kama week tatu, nikampandia hewani tena, kubembeleza, nikaona respond ipo kidogo Sasa Leo nimeenda kwake Manzi, na...
Baada ya washauri kuniambia ni achane na huyo pasua kichwa hakupendi, basi nikaamua kufunga wallet yangu vizuri.
Mapenz kwanza kuhongana baadae.
Naona kaamua kunikimbia bila kunipa taraka yangu kuwa tumeachana sikutaki.