Mrejesho baada ya kuagiza Gari toka Japan


[emoji1307]
 
Mimi Nimetembelea web yao jana nikaona bei yao iko juu kidogo. Magari mengine hawaandiki bei mpaka uulize. Mbaya zaidi wana magari machache sana. Ila magari yao mengi yako kwenye hali nzuri.

Wana gari chache kweli
 
Autocom Japan
Mbona kama wana uhaba sana? Nikimaanisha wana gari chache sana?
Nimesearch Toyota Rav 4, min year 2008, max year 2015.. Hakuna gari hata moja!!
Au nimekosea kusearch?
 
Mimi Nimetembelea web yao jana nikaona bei yao iko juu kidogo. Magari mengine hawaandiki bei mpaka uulize. Mbaya zaidi wana magari machache sana. Ila magari yao mengi yako kwenye hali nzuri.
Hawana gari
 
Mkuu , pamoja na ushuru kushuka ila Tra wanaangalia na invoice utakayopeleka, kama agent alijichanganya akapeleka invoice ambayo ipo juu ya base price kwenye calculator , Tra watatu mia invoice yako kukupatia kodi yako. Na hii ndo sababau ya kodi ku overshoot .
 
Baba ulirudi jioni?
 

Ok nashukuru kwa maelezo lkn mbona wametumia ya mwezi huu iliyoshuka ma agent uwa wanawapiga tu... wala invoice haipelekwi Uko TRA....
 
Sure, nenda yard afu leta mrejesho kaka

Achana na yard ujanja ni kuagiza gar ya mwaka 2002 tofaut na 2004.... 2005 tofaut na 2006 kuanzia bei mpk ushuru mkuu we umeagiza af hujui hizi mambo ama wewe ulipick tu moja iyo iyo.....izo rim ni size ngap nikitaka gar iwe jujuu kidogo tyre size ngapi.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…