Nilienda kutambulishwa kama mchumba tuu Of coz nyumbani kwao walikuwa wanataka kunifahamuNi stori tu au uhalisia? Ulitumika utaratibu gani wa kutambulishwa hata ukabaki na wakwe zako tu? Au ulienda kutambulishwa kwa wazazi wa mzazi mwenzio?
Makabila 124, pengine mila za baadhi ni flexible kihivyo.
naunga mkono hojaHawajaridhika na kibarua chako mkuu