Mrejesho changamoto ya Mke wangu ambaye alionekana kuwa na shida ya ugonjwa wa akili yeye na binti yetu mkubwa

Mrejesho changamoto ya Mke wangu ambaye alionekana kuwa na shida ya ugonjwa wa akili yeye na binti yetu mkubwa

Mungu niguse

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
272
Reaction score
729
Wakuu habari .

Nilileta Uzi kuomba ushauri na namna sahihi ya kumsaidia mke Wangu ambaye alionekana kuwa na shida ya Akili yeye Pamoja na binti yetu.

Watu walishauri nimpeleke kwenye maombi. Nilifanikiwa kutafuta watumishi wa kiroho na kumuombea sana.

Kiukweli hakuna nafuu iliyopatikana mpaka sasa wakuu.

Isipokuwa Kwa binti ni Kama hali imetulia japo sio asilimia 100% ni Kama hali inatulia na inarudia.

Jana niliwapeleka hosptali ya mkoa wote wawili na nimeshauriwa Kama kuna uwezakano niwafikishe Dodoma Milembe.

Hivyo naona nimeamua kuendelea na hii hatua.

SOMA
- Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu
 
Pole sana Mkuu, endelea kusimama imara naamini watapona na kurejea katika hali waliyokuwa nayo kabla.

Fuata ushauri wa kitaalam, wapeleke huko Mirembe. Inaumiza hata kuandika jina la hiyo hospitali, unapitia maumivu makubwa sana.

Pole sana Mkuu
 
Wakuu habari .

Nilileta Uzi kuomba ushauri na namna sahihi ya kumsaidia mke Wangu ambaye alionekana kuwa na shida ya Akili yeye Pamoja na binti yetu.

Watu walishauri nimpeleke kwenye maombi. Nilifanikiwa kutafuta watumishi wa kiroho na kumuombea sana.

Kiukweli hakuna nafuu iliyopatikana mpaka sasa wakuu.

Isipokuwa Kwa binti ni Kama hali imetulia japo sio asilimia 100% ni Kama hali inatulia na inarudia.

Jana niliwapeleka hosptali ya mkoa wote wawili na nimeshauriwa Kama kuna uwezakano niwafikishe Dodoma Milembe.

Hivyo naona nimeamua kuendelea na hii hatua.

SOMA
- Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu
Jana niliwapeleka hosptali ya mkoa wote wawili na nimeshauriwa Kama kuna uwezakano niwafikishe Dodoma Milembe.

Hivyo naona nimeamua kuendelea na hii hatua.💪🏿👌🏿
 
Wakuu habari .

Nilileta Uzi kuomba ushauri na namna sahihi ya kumsaidia mke Wangu ambaye alionekana kuwa na shida ya Akili yeye Pamoja na binti yetu.

Watu walishauri nimpeleke kwenye maombi. Nilifanikiwa kutafuta watumishi wa kiroho na kumuombea sana.

Kiukweli hakuna nafuu iliyopatikana mpaka sasa wakuu.

Isipokuwa Kwa binti ni Kama hali imetulia japo sio asilimia 100% ni Kama hali inatulia na inarudia.

Jana niliwapeleka hosptali ya mkoa wote wawili na nimeshauriwa Kama kuna uwezakano niwafikishe Dodoma Milembe.

Hivyo naona nimeamua kuendelea na hii hatua.

SOMA
- Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu
Mkuu sio kupinga dini ila na kushauri usichanganye mambo ya afya na ya kiroho peleka familia yako hospitali ya afya ya akili nakushauri kama huna ndugu huo mkoa mpanga chumba karibu na hospitali ili upate matibabu taratibu ilo sio suala la kupana haraka ni mchakato kdgo.......
 
Mungu aliyeumba na kutoa pumzi kwa yeyote amtakaye akujaalie wewe' na familia yako Afya njema...

Kikubwa Prognosis (Matokeo) ya Afya ya akili inachukua muda kukaa vyema''

Kikubwa usikate tamaa, Mungu atatenda...
 
Wakuu habari .

Nilileta Uzi kuomba ushauri na namna sahihi ya kumsaidia mke Wangu ambaye alionekana kuwa na shida ya Akili yeye Pamoja na binti yetu.

Watu walishauri nimpeleke kwenye maombi. Nilifanikiwa kutafuta watumishi wa kiroho na kumuombea sana.

Kiukweli hakuna nafuu iliyopatikana mpaka sasa wakuu.

Isipokuwa Kwa binti ni Kama hali imetulia japo sio asilimia 100% ni Kama hali inatulia na inarudia.

Jana niliwapeleka hosptali ya mkoa wote wawili na nimeshauriwa Kama kuna uwezakano niwafikishe Dodoma Milembe.

Hivyo naona nimeamua kuendelea na hii hatua.

SOMA
- Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu
Kwenye tiba za mitishamba ulijaribu au ndio dhambi,pambania uhai wa familia yako kwa namna yoyote,kuna mshakaji ilikuwa tumkose kaenda kuponea katavi baada ya kuangaikia Rabbininsia,muhimbili pia kachemka, kwasasa yupo sawa kabisa ,,
Tusidharau tiba za jadi zipo mkuu na zinasaidia usiwasikilizie hao washika dini wanafiki,wao wenyewe wanakesha ugangani na wana hirizi kila idara
 
Pole sana mkuu. Pole sana Mungu akuongoze.
 
Back
Top Bottom