Mrejesho: Dada anataka nimtoe bikira yake

Hahaaha jf hainaga stress kabiisa hata kama.huna hela.umepigika umeshindia maji.kutwa nzima au ajira zinazingua kitaa kimekunyoosha ila ukisoma sredi kama hizi matatizo yako yooote unaayasahau unabak unacheka tu
 
Baada ya kuja kuomba ushauri huku kuhusu dada na bikra yake,kumbe yupo humu na ameona uzi wangu ,muda si mrefu nimeongea nae kaniambia kwa kuwa nimemweka hadharani leo atakuja home kwangu nimtoe kilazima ,,

Nikimbilie wapi au niende club?
Akija mwambie uko kwenye siku zako, atakuacha na atasepa, kwakuwa umesema hajawahi kutana na mwanaume ataamini kuwa wanaume nao wanakuwaga kwenye siku zao. Chukua pedi jiwekee mbele kwenye mboo, kisha akija jifanye unamuonyesha akiona pedi tu ataamini kisha atasepa
 
Baada ya kuja kuomba ushauri huku kuhusu dada na bikra yake,kumbe yupo humu na ameona uzi wangu ,muda si mrefu nimeongea nae kaniambia kwa kuwa nimemweka hadharani leo atakuja home kwangu nimtoe kilazima ,,

Nikimbilie wapi au niende club?
Subiri na hii atasoma na atakupa majibu
 
Baada ya kuja kuomba ushauri huku kuhusu dada na bikra yake,kumbe yupo humu na ameona uzi wangu ,muda si mrefu nimeongea nae kaniambia kwa kuwa nimemweka hadharani leo atakuja home kwangu nimtoe kilazima ,,

Nikimbilie wapi au niende club?
Huu sasa ni uongo wa hali ya juu.
 
Haya mtoto mzuri nenda mkacheze kombolela na fichamafichama bila kusahau ukutiukuti...na mdako
 
Ndio maana takwimu zinaonesha wanaume ni wachache kuliko wanawake lakini unaweza kuta si ajabu wanaume ni wengi sema vitendo vyao vimepelekea kuwekwa kwenye kundi la wanawake
 
na hapa magufuli akisema atangaze kuhakiki IQ za wabongo mtasema ni dikteta....

na hapa magufuli akisema atangaze kuhakiki IQ za wabongo mtasema ni dikteta....
Ni coincidence tu ama ? [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji38]
Mende msafi leo umepiga hodi Jf ,angalia sasa unachanganya madawa mshana jr akakupokea na picha ya mende
 
unaupungufu wa nguvu za kiume? au mdudu wako hajasimama (balehe)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…