Mrejesho: dem niliyempata Ud

Kula chakula chako mwenyewe, cha nje si salama.
 
siku nyingine uje nikuazime pingu uwe nazo kabla ya mechi... ila huyo ni mdogo wangu nikikukamata!!!
 
Mada nyingine hataa hazina maana kuziweka humu mitandaoni
 
Hahaha jamaa alikuwa anamizuka ya ajabu, sema wanawake mnavumilia sanaaa. Unapewa mpaka gari lakini ambush yake....
Jamaa anakwambia ye hasex
Ye anaf*ck
 
hamia chuo kingine.....
njo CBE kwa watoto wajanja hawana mahaba niue kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…