stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 519
Habari zenu wandugu
Baada ya kuwa nimepitia thread mbalimbali hapa jukwaani hasahasa zinazohusiana na masuala ya ujasiriamali, zaidi nilijikita sana katika zile zinazohusiana na biashara ya vifaa vya ujenzi. Niliweza kupata elimu kubwa kuhusu jinsi ya uanzishwaji wake, changamoto zake pamoja na mtaji wa kuanzia nilifanyia kazi elimu hiyo hatimaye nimeweza kufungua duka la hardware huko maeneo ya Goba. Shukrani za pekee zimwendee mkurugenzi wa b2b venture bila shaka anausoma uzi huu, kwa kunipa moyo wa ujasiri hatimaye na mimi kuwa na biashara ya ndoto yangu pamoja na wana jf wote.
Mwisho nawakaribisheni nyote
*****Lets all take risk and practise our dreams***""
*****
Baada ya kuwa nimepitia thread mbalimbali hapa jukwaani hasahasa zinazohusiana na masuala ya ujasiriamali, zaidi nilijikita sana katika zile zinazohusiana na biashara ya vifaa vya ujenzi. Niliweza kupata elimu kubwa kuhusu jinsi ya uanzishwaji wake, changamoto zake pamoja na mtaji wa kuanzia nilifanyia kazi elimu hiyo hatimaye nimeweza kufungua duka la hardware huko maeneo ya Goba. Shukrani za pekee zimwendee mkurugenzi wa b2b venture bila shaka anausoma uzi huu, kwa kunipa moyo wa ujasiri hatimaye na mimi kuwa na biashara ya ndoto yangu pamoja na wana jf wote.
Mwisho nawakaribisheni nyote
*****Lets all take risk and practise our dreams***""
*****