Watu bhana, ukimuona mtu ambaye humfahamu usimdharau, lengo langu si kuandika kiingereza hiyo inatokea sana neno LA kiingereza linajiandika lenyewe kwenye simu hizi za wachina, ila najua ujumbe umewafikia walengwa.Hospitality au Hospital? Ya nini kujilazimisha kuandika kingereza wakati hata darasa moja la kayumba hujamaliza? Sasa mimi nimeshindwa kukuelewa na hivyo nimeshindwa pia kukusaidia!
Baada ya kuandika Uzi kuhusu kuwa na tatizo LA mgegendo kuwa legelege watu wamekuwa hawaelekezi hospitali wala mtaalamu yoyote, nimekosa ufumbuzi maana nilihitaji kujua kama naweza kupata huduma ya matibabu katika hospitali IPI kwa hapa dar au kwa mtaalamu yupi anaweza nisaidia, naamini haya matatizo ni ya kawaida katika jamii yetu kwa hiyo kuna watu wana uzoefu NAyo kwenye familia au marafiki au watu wao wa karbu naomba kujua walifanyaje maana nateseka sana aisee na nawa haidi kuwaletea mrejesho baada ya kupata tiba kamili.....natanguliza shukrani kwa wote mlioshauri katka Uzi wangu mwingne
Nitazingatia ushauri wako mzuri, asante kwa mchango wako muruaFanya mazoezi , kunywa kamam ni mnywaji wa pombe hebu punguza jitahidi kula vyakula bora epuka kujilisha mabaga machips na urojo sijui vyakula vya wapemba achaa ! KULA vyakula vya asili kama dona mboga za majani na ndizi ,viazi set mind yako talk to your mind kila unapokutana na mwanamke usiwazie kushindwa maana utashindwa kweli .Na pia kama ni hofu ya mtu mkicheki afya na mhusika akili inarelax zaidi mazoezi ni muhimu zaidi.