Mrejesho juu ya Mzee Michael Juma

Mrejesho juu ya Mzee Michael Juma

Wilson Gamba

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
808
Reaction score
878
Kwanza niwashukuru nyote mlonipa ushauri juu ya Nini tufanye tumpate mzee wetu.Ukweli tulifanya kila kitu ata kujiunga magroup mbalimbali ya wasapu na fb.

Tuliopita kila Kona,tulifanikiwa kumpata mzee mmoja aliyekuwa anafanya kazi gereza la musoma na sasa Ni mstaafu yupo Mkoani Singida alikiri kumfahamu Ila akasema ata yeye miaka ya 1984 Ndo alitoka gereza la musoma na kwenda gereza la kiabakari tokea hapo hana Tena taarifa yoyote juu ya Mzee.

Tulienda mbele zaidi na sasa tunaangaikia eneo alilokuwa anatokea mtwara mjini mungu akisaidia tutakuja apa Tena.Pia ahadi yetu ya Tsh 500,000/ ipo palepale atayeleta taarifa sahii ya Mzee Michael Juma,au Mwanae Ana ambaye tumumzungumzia apa au ukoo wake
 
Kwanza niwashukuru nyote mlonipa ushauri juu ya Nini tufanye tumpate mzee wetu.Ukweli tulifanya kila kitu ata kujiunga magroup mbalimbali ya wasapu na fb.


Tuliopita kila Kona,tulifanikiwa kumpata mzee mmoja aliyekuwa anafanya kazi gereza la musoma na sasa Ni mstaafu yupo Mkoani Singida alikiri kumfahamu Ila akasema ata yeye miaka ya 1984 Ndo alitoka gereza la musoma na kwenda gereza la kiabakari tokea hapo hana Tena taarifa yoyote juu ya Mzee.


Tulienda mbele zaidi na sasa tunaangaikia eneo alilokuwa anatokea mtwara mjini mungu akisaidia tutakuja apa Tena.Pia ahadi yetu ya Tsh 500,000/ ipo palepale atayeleta taarifa sahii ya Mzee Michael Juma,au Mwanae Ana ambaye tumumzungumzia apa au ukoo wake
Hela ipo kweli mkuu!?
 
mkuu nirushie chap huo mzigo taaraifa ninazo za mnaemtafuta, nikajikanyagie zangi vant kubwa
 
mkuu nirushie chap huo mzigo taaraifa ninazo za mnaemtafuta, nikajikanyagie zangi vant kubwa
Ndugu sisi tupo serious na hili swala na Wala hatuwezi kudanganya kimpa mtu haki yake,kimbuka nilieahitoa apa mrejesho Kuna watu tilishawapa pesa kumbe waliiitaji tu pesa lakini so mbaya,Cha msingi niiunganishe nao nijilidhishe kwanza,Nina misingi ya dini dhiluma kwangu Ni mwiko
 
Kwanza niwashukuru nyote mlonipa ushauri juu ya Nini tufanye tumpate mzee wetu.Ukweli tulifanya kila kitu ata kujiunga magroup mbalimbali ya wasapu na fb.


Tuliopita kila Kona,tulifanikiwa kumpata mzee mmoja aliyekuwa anafanya kazi gereza la musoma na sasa Ni mstaafu yupo Mkoani Singida alikiri kumfahamu Ila akasema ata yeye miaka ya 1984 Ndo alitoka gereza la musoma na kwenda gereza la kiabakari tokea hapo hana Tena taarifa yoyote juu ya Mzee.


Tulienda mbele zaidi na sasa tunaangaikia eneo alilokuwa anatokea mtwara mjini mungu akisaidia tutakuja apa Tena.Pia ahadi yetu ya Tsh 500,000/ ipo palepale atayeleta taarifa sahii ya Mzee Michael Juma,au Mwanae Ana ambaye tumumzungumzia apa au ukoo wake
Mkuu hiyo laki 5 utanipa.

Nenda makao makuu ya magereza uombe taarifa zake mara ya mwisho aliondokea wapi. Itakupa clue kupata hata majirani wa kudodosa
 
Pesa kitu gani kitu utu tu, tenda wema utalipwa na mungu, nenda alikokuwa anafanyia kazi, au makao makuu yao ukonga Wana data zote za watumishi wa kada yao.
 
Back
Top Bottom