Mrejesho:Kijana wa Dar nimenyoosha mikono nikiwa CDA DODOMA

Jamaa mzembe sana.. Anaongea blah blah
mbuuuuuuta, kiiiiru. hahaa nimekumbuka ule uzi wako KITIMOTO
nikumbushe heading ilikuwa inasomeka vipi ni usearch nisome tena maana kila comment ilikuwa inanipa raha
 
Mwanaume wa dar katika ubora wako
 
Kijana aliyekuzwa na ccm, eti upinzani utashinda 2020 na watu kama hawa ndyo wapig kura
 
Malaya hawezi kuwa Malaya bila kununuliwa na Malaya mwenzie,,, tumekuskia Malaya wa kiume endelea kuosha rungu kila la herii
 
Mjomba riwaya yako matata sanaaaa...nakuja huko
 
Hamjui kutongoza kaz kudandia malaya tu nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…