Trust me ankali
Member
- Sep 22, 2018
- 74
- 124
1)Kwa pamoja tumeamua kuwa mabaharia wote Tanzania tusitongoze wanawake wanaoitwa Hamida kwa miaka mitano hadi pale Hamida aliyemtesa baharia mwenzetu atakapojitokeza na kuomba radhi
2) Ndugu yetu aliyepata mkasa huu tutamtafutia wanawake watano wazuri zaidi kisha tutamuozesha kwa gharama zetu.... Hii tunataka tumwambie kuwa maisha yanaweza kuendelea bila hamida
3) Mikoa mitano ipo chini ya uchunguzi maaana inasemekana kuwa Hamida ametokea kati ya mikoa hiyo nayo ni Rukwa, Mtwara, Kigoma, Singida na TANGA
4) Sisi Kama mabaharia tumeamua kujenga sanamu la Hamida kama kumbukumbu ya kutuumiza maaana haijawahi kutokea mtu aliyeweza kututingisha kama alivyofanya hamida
5) Tutakutana tar 2/3/2020 kwa ajili ya tathimin ya maazimio yetu
[emoji124][emoji124][emoji124]
2) Ndugu yetu aliyepata mkasa huu tutamtafutia wanawake watano wazuri zaidi kisha tutamuozesha kwa gharama zetu.... Hii tunataka tumwambie kuwa maisha yanaweza kuendelea bila hamida
3) Mikoa mitano ipo chini ya uchunguzi maaana inasemekana kuwa Hamida ametokea kati ya mikoa hiyo nayo ni Rukwa, Mtwara, Kigoma, Singida na TANGA
4) Sisi Kama mabaharia tumeamua kujenga sanamu la Hamida kama kumbukumbu ya kutuumiza maaana haijawahi kutokea mtu aliyeweza kututingisha kama alivyofanya hamida
5) Tutakutana tar 2/3/2020 kwa ajili ya tathimin ya maazimio yetu
[emoji124][emoji124][emoji124]