baby nillaah
Senior Member
- Apr 7, 2017
- 110
- 64
Nashukuru kwa ushauri wenu wa nini kingine niuze katka ofisi yangu y mpesa nashkur wateja saiv napata lakin tatzo .....n kwamba lain zangu wamenicheleweshea sana mpaka sasa so nauza maji,soda,maziwa mtindi ,....nashkur mung napata wateja but shida n hizo lain je nifanyeje nizipate kwa urahisi coz process zote nilifuata wengi wananambia kuwa natakiwa kusubir baaada y miez kadhaa ,,,,,nifanyeje nizipate haraka???