Mrejesho kutoka kwa waliowahi kutumia dawa za nguvu za kiume

Katika kitu kinacho telemsha confidence ya watu ni hizo porno.. kibaya zaid unakuta mtu anataka kua kama flani anae muona.. Tamaa ya watu kutaka kua kama watu wanao waona ndio secret business ya uuzaji wa hayo madawa..

Kumbuka kila mwanaume ni wa aina yake. badala ya kutaka kua kama flan tumia vizur resource ulionayo.. jiamini.. nashangaa sana watu wenye vinavyoitwa vibamia wanavyo nywea na kuwa dhaifu ki saikolojia..
 
Fanya mazoezi
Pata muda wa kupumzika
Kula matunda kama tikitimaji
Vyakula kama tangawizi, nyanya chungu, karanga, asali na mihongo mibichi
Kuna story nilisoma sehemu Fulani kama ukitumia asali mbichi na mfalasini asubuhi, mchana na jioni hata kama ulikuwa hanisi utaweza anza kuelect.
Tatizo hili linaanza au tunaathiliwa kisaikolojia tu, kama ukifuatilia Maneno ya wengine utapona
 
Mkuu umemaliza kila kitu.
 
Vumbi lá kongo ati!

Pichá linaanza vumbi likizamishwa kwa mafuta mgando kisha kichwa cha dudu kinalamba vumbi kwa mzungusho.
Alafu kwambaali kidizain flan kama dudu inaanza kuvuta mara ganzi inaanza kunyemelea mlingoti mzima. Dakik 10 baadae mambo si mchezo ganzi inasambaa mubasharaaaa kwenye mlingot mzima na kwa mbali mithili ya pilipili inaanza kuwasha fimbo sasa hapo ndo utajua kwann kabila ni gaidi. Nusu saa hadi masaa 2 baadae hali tete ya pilipili inachachamaa na mnyama ukimgusa husikii chochote kwa kipigo cha ganzi kuu ukijumlisha muwasho wa pilipili. Unaamini sasa hapa mechi imepata mchezaji.

Unaingia uwanjani kitu kipo mnara. Mpinzani anatahamaki kuona kitu kinazama golini Na kufukunyua nyavu dk 20 bila kuchomoka wala kulala. Anachukulia powa. Mara anaona kamanda ndo kwanza anaongeza spidi akat yy kafika mwisho. Patamu hapo ......tô be continue

[HASHTAG]#chamkongo[/HASHTAG]
 
hahahaaaha aisee mkuu nimecheka sanaaa
 
Hongera zako dada

Umejiunga JF hata wiki haijatimia lakini una post 600+ na ushapata mpaka mtu wa kuku follo

Inaonekana wewe ni active member na unajilaumu kwa nini hukujiunga mapema
hahahaha hatari sana 4G
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…