Zote tuHili swala la kulipwa ni taesa ndio wanakulipa au taasisi uliyopelekwa ndio inakulipa?
No one ama nene๐Naomba mrejesho kwa wale mliofanikiwa kupata kazi, kujitolea na vinginevyo kupitia TAESA.
Mbona wapo weng labd hawapo tu hapaNo one ama nene๐
Hata mimi mwenyew sipo chief ๐Mbona wapo weng labd hawapo tu hapa
Nimzungumzia kwa ambao umeuliz kama wapo hapa ama laa waliopata fursaHata mimi mwenyew sipo chief ๐
Ahaaaa kwa Mimi bado fursa cjapata nawezaje kupata connectionNimzungumzia kwa ambao umeuliz kama wapo hapa ama laa waliopata fursa
Hata mm ni kama ww tuAhaaaa kwa Mimi bado fursa cjapata nawezaje kupata connection
Wajitokeze๐๐duh hakuna wakutukabidhi vijiti humu
Ebu waite
Ebu waite
๐๐๐Cjaona ata mmojaNgoja waje kukupa muongozo...
Weeeeeeh sema kwer hatujauona huo uziDsm kulikuwa na training july so unachotakiwa ni ww kubook for training then ukihudhuria unapangiwa siku ya interview
Hakuna uzi hapoWeeeeeeh sema kwer hatujauona huo uzi
Sawa chiefHakuna uzi hapo
Ni ww kuingia kwenye acc yako ya TAESA then book training