Mrejesho: Madhara ya kumwagiwa shahawa

Mrejesho: Madhara ya kumwagiwa shahawa

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kuna mada niliiweka hapa siku kadhaa zimepita, nilihoji ni kwanini punde tu mtu akianza mapenzi huwa anabadilika?

1. Kwa nini mwanaume rijali kabisa ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kutaka yeye aingiliwe kinyume- hata awe baunsa vipi lakini punde tu akimwagiwa "sperm" akili huanza kubadilika na kuwa mapozi ya kike?

2. Kwa nini binti akiwa bado kigori huwa ni shupavu na saa nyingine huaminika sana na wazazi na waweza mtuma mambo makubwa akayafanya kwa kujiamini tena huwa na nguvu lakini punde akianza kumwagiwa huu "ugirigiri" mtoto huwa hakamatiki tena?

3. Naendelea kuuliza kwa nini mtu akilawitiwa hulazimika kupigwa bomba hospitali (kusafishwa)?

4. Bado nahoji kwa nini wanawake wengi wakianza mapenzi hulegea na saa nyingine hata maamuzi ya kuvuka barabara kwao huwa ni kama watoto yaani waweza kumpigia honi apishe njia lakini utashangaa badala ya kusogea tu yeye atatoka kulia pembezoni avuke kuja kushoto Mara arudi yaani kama watoto " hiihuanza punde tu akianza kumwagiwa note! Si wote lakini asilimia kubwa!

5. Kwanini ma shoga ni vigumu sana kuachana na tabia hiyo wakianza?

MREJESHO!!
Moja ya Maelezo kutoka Kwa mtaalamu wa afya ya binadamu ameniambia kwamba shahawa hukusanywa na kuhifadhiwa kwenye kifuko maalumu ndani ya mfumo wa uzazi wa mwanaume, kifuko hicho hutunza shahawa kwa kiwango maalum cha joto, pia kasema endapo shahawa zikimwagwa ukeni au zikimwingia binadamu yeyote iwe kwenye njia sahihi au kinyume, kutokana na kupotea Kwa kiwango cha joto na majimaji yanazo zitunza, Basi shahawa hizo Huoza haraka, na kuanza kuwasha, hivyo humfanya aliyemwagiwa kutamani kukunwa tena na tena. Na ndiyo maana watu hawakamatiki wakishaanza mchezo huo,
Naomba kuwasilisha Wadau, KARIBUNI.
 
Ndio maana mungu akasema tusikaribie wala kufanya zinaa kwani ni uchafu kitaalam mwanamke ndiye anaetengeneza magonjwa ya zinaa kwani sehemu nyeti zake huifadhi shahawa hivyo zikikutana shaha wa za aina tofauti hukinzana na kusababisha bacteria ambao hutengeneza ugonjwa ndio maana uislam humtaka mwanamke kukaa eda mumewe anapofariki ili zile shahawa zilizohifadhiwa ziharibike na akiolewa tena aifadhi zingine mpya hivyo kutokuwa na mwingiliano na kusababisha ugonjwa
 
Kuna mada niliiweka hapa siku kadhaa zimepita, nilihoji ni kwanini punde tu mtu akianza mapenzi huwa anabadilika?

1. Kwa nini mwanaume rijali kabisa ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kutaka yeye aingiliwe kinyume- hata awe baunsa vipi lakini punde tu akimwagiwa "sperm" akili huanza kubadilika na kuwa mapozi ya kike?

2. Kwa nini binti akiwa bado kigori huwa ni shupavu na saa nyingine huaminika sana na wazazi na waweza mtuma mambo makubwa akayafanya kwa kujiamini tena huwa na nguvu lakini punde akianza kumwagiwa huu "ugirigiri" mtoto huwa hakamatiki tena?

3. Naendelea kuuliza kwa nini mtu akilawitiwa hulazimika kupigwa bomba hospitali (kusafishwa)?

4. Bado nahoji kwa nini wanawake wengi wakianza mapenzi hulegea na saa nyingine hata maamuzi ya kuvuka barabara kwao huwa ni kama watoto yaani waweza kumpigia honi apishe njia lakini utashangaa badala ya kusogea tu yeye atatoka kulia pembezoni avuke kuja kushoto Mara arudi yaani kama watoto " hiihuanza punde tu akianza kumwagiwa note! Si wote lakini asilimia kubwa!

5. Kwanini ma shoga ni vigumu sana kuachana na tabia hiyo wakianza?

MREJESHO!!
Moja ya Maelezo kutoka Kwa mtaalamu wa afya ya binadamu ameniambia kwamba shahawa hukusanywa na kuhifadhiwa kwenye kifuko maalumu ndani ya mfumo wa uzazi wa mwanaume, kifuko hicho hutunza shahawa kwa kiwango maalum cha joto, pia kasema endapo shahawa zikimwagwa ukeni au zikimwingia binadamu yeyote iwe kwenye njia sahihi au kinyume, kutokana na kupotea Kwa kiwango cha joto na majimaji yanazo zitunza, Basi shahawa hizo Huoza haraka, na kuanza kuwasha, hivyo humfanya aliyemwagiwa kutamani kukunwa tena na tena. Na ndiyo maana watu hawakamatiki wakishaanza mchezo huo,
Naomba kuwasilisha Wadau, KARIBUNI.
[emoji15]
 
Kuna mada niliiweka hapa siku kadhaa zimepita, nilihoji ni kwanini punde tu mtu akianza mapenzi huwa anabadilika?

1. Kwa nini mwanaume rijali kabisa ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kutaka yeye aingiliwe kinyume- hata awe baunsa vipi lakini punde tu akimwagiwa "sperm" akili huanza kubadilika na kuwa mapozi ya kike?

2. Kwa nini binti akiwa bado kigori huwa ni shupavu na saa nyingine huaminika sana na wazazi na waweza mtuma mambo makubwa akayafanya kwa kujiamini tena huwa na nguvu lakini punde akianza kumwagiwa huu "ugirigiri" mtoto huwa hakamatiki tena?

3. Naendelea kuuliza kwa nini mtu akilawitiwa hulazimika kupigwa bomba hospitali (kusafishwa)?

4. Bado nahoji kwa nini wanawake wengi wakianza mapenzi hulegea na saa nyingine hata maamuzi ya kuvuka barabara kwao huwa ni kama watoto yaani waweza kumpigia honi apishe njia lakini utashangaa badala ya kusogea tu yeye atatoka kulia pembezoni avuke kuja kushoto Mara arudi yaani kama watoto " hiihuanza punde tu akianza kumwagiwa note! Si wote lakini asilimia kubwa!

5. Kwanini ma shoga ni vigumu sana kuachana na tabia hiyo wakianza?

MREJESHO!!
Moja ya Maelezo kutoka Kwa mtaalamu wa afya ya binadamu ameniambia kwamba shahawa hukusanywa na kuhifadhiwa kwenye kifuko maalumu ndani ya mfumo wa uzazi wa mwanaume, kifuko hicho hutunza shahawa kwa kiwango maalum cha joto, pia kasema endapo shahawa zikimwagwa ukeni au zikimwingia binadamu yeyote iwe kwenye njia sahihi au kinyume, kutokana na kupotea Kwa kiwango cha joto na majimaji yanazo zitunza, Basi shahawa hizo Huoza haraka, na kuanza kuwasha, hivyo humfanya aliyemwagiwa kutamani kukunwa tena na tena. Na ndiyo maana watu hawakamatiki wakishaanza mchezo huo,
Naomba kuwasilisha Wadau, KARIBUNI.
Unalazimisha kuleta uzi uzembe makusudi sio vingine hili uchomeke kituchako unachokiataji
 
Back
Top Bottom