Mzawa asilia
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 416
- 204
hapa pia naomba ushauri ni benk ipi unaweza kupata huduma ya kufungua akaunt bila usumbufu kwa on line transaction- Fedha inachukuliwakwenye account yako husika - Inakuwa kana kwamba umefanya muamala wa manunuzi mtandaoni.
- Hicho kiasi cha fedha walichochukua, Automatic kinarudishwa kwenye account yako ndani ya saa 48 hadi 72
- Uwe na subiara sana kusubiri mzigo huchukua siku 25 hadi 45 hasa kwa items za chini ya dola 10Napendelea zaid free ship cost
- Uwe tayari kulipia shipping costmuda angalau uwe chini ya siku 21
- Hakikisha unaepuka Free shiping ili mzigo wako uweze kuwahi.ila nilitaka kufanya majaribio kwa kuagiza mzigo wa dollar 5 had 10
Chagua mojawapo kati ya hizo boldon line transaction
nipo Moshi huku kuna CRDB,KBC ,EXIM,KBC ,BACLAYS NA EQUITY BANK
baada ya kufungua then nadepoit hiyo fedhaninayotegemea kununulia mzigo- Uwe na subiara sana kusubiri mzigo huchukua siku 25 hadi 45 hasa kwa items za chini ya dola 10
- Uwe tayari kulipia shipping cost
- Ni kati ya dola 2.5 hadi 8 kwa items za chini ya gram 500, Mzigo unaupata ndani ya siku 15 -21
- Hakikisha unaepuka Free shiping ili mzigo wako uweze kuwahi.
Chagua mojawapo kati ya hizo bold
- Fika tawi husika ukiwa na kitambulisho chakocha mpiga kura kinatosha
- Eleza shida yako kuwa unahitaji VISA CARD kwa ajiri ya kufanya manunuzi mtandaoni, Utashughuikiwa na ndan ya dakika 15 utatoka ukiwa na kadi iliyotayari kwa manunuzi mtandaoni.
- Ni sahihi, deposit kiasi cha fedha ulichopanga kuanzia.baada ya kufungua then nadepoit hiyo fedha ninayotegemea kununulia mzigo
shukran sana kaka nashukuru kwa maelezo yako ngoja nifanyie kazi hili la benk kwanzaMzawa asilia
- Ni sahihi, deposit kiasi cha fedha ulichopanga kuanzia.
- Pia waweza kufanya top up kupitia simu yako - kwa kufuata menu husika ya mtandao husika.
Nitatumia kigezo cha ukaribu wa customer care pindi upatapo tatizo (Rating ya juu ni 5/5)Mwl.RCT naomba naomba utaje tena izo benk make umesema za kwenye bold mi kwangu bold haijatokea.
- Kwa swala la miamala, ni department husika ya hiyo benki husika, ndio inawajibika kushughulikia matatizo.Mkuu mwl rct custumer care mfano bank ya dar siinaweza tofautiana na tawi la mfano Dodoma kwa benki iyoiyo!
Wanaruhusu na nimeshafanya transactions 2 mpk sasaNMB SIDHANI KAMA KADI YAO INARUHUSU ONLINE TRANSACTION SIDHANI
Lazima iwe Master card then unaenda bank uliyofungulia unapewa form ya kujaza kuongeza matumizi ya ku purchase onlineNMB SIDHANI KAMA KADI YAO INARUHUSU ONLINE TRANSACTION SIDHANI
Jaribu utupe mrejesho
Hapana si lazimaMKUU inalazimu kuwa na acc y dolla??
Mkuu naomba unisaidie utaratibu huo pasipo kutumia dollaHapana si lazima
Wewe cha kufanya ni kucheki dollar kwa kipindi cha manunuzi bank yako wanauza kiasi gani unikinunua tu wao wanakata kiwango cha bei ya dollar mf! Nmb kwa dollar 1 wanauza tsh 2286 so km bidhaa unayaotaka nunua ni dollar 10, watakukata 22,860/=Mkuu naomba unisaidie utaratibu huo pasipo kutumia dolla
Kwangu nadhani BancABC wako vizuri zaidi kwa sababu wanakupa kadi maalum ya kufanyia miamala tofauti kabisa na akaunti yako ya kuhifadhia pesamkuu ni account gani ya kibenk inafaa kwa huduma hizo..?
Uwe
na mastercard au visa card. So ni account yoyote kama NBC, CRDB, NMB, BACRAYS. Etc
benki nyingi zinafanya hivyoKwangu nadhani BancABC wako vizuri zaidi kwa sababu wanakupa kadi maalum ya kufanyia miamala tofauti kabisa na akaunti yako ya kuhifadhia pesa
Ukatumwa tarehe 16 na leo umefika..
NILICHOJIFUNZA
1. Wakati mwingine woga wetu ndio unaotufanya kuwa nyuma kimaendeleo.. Dunia ya sasa imekua kijiji unaweza pata bidhaa yeyote toka ulimwengu wowotena kwa bei rahisi cha msingi ni kutumia njia sahihi wakati wa manunuzi..
2. Wizi wa pesa kwenye acount.. Kuna wakati nilikua na wasi wasi kwamba uenda jamaa wangenipiga ela zangu kwenye acount.. Hii si kweli jamaa wa ebay wapo makini sana hasa hasa ukiwa na acount ya paypal yani chagua bidhaa ebay lakini lipa kwa kutumia paypal..
Kuna jamaa mmoja alikweka bidhaa kiwizi wizi nikainunua jamaa wa paypal walipogundua wakamblock jamaa na fedha zangu zikarudishwa kwenye acount yangu.. Haijalishi ni kiasi gani kitarudishwa..
View attachment 489334
KUHUSU ZIP CODE NA POSTAL CODE
Hizi zisiwasumbue.. Andika detail zako za nchi, mkoa na wilaya, na code yetu pendwa ya +255 plus jina lako kamili trust me mzigo wako utafikishwa posta kuu ya mkoa wako na watu wa posta watakupigia simu uufate mzigo wako mara unapofika.. Hasa wakituma kwa register.. Usiandike P. O. BOX kwani wengine huwa hawataki mtu atumie P. O. Box.
2. Kuna vingine vingi ambavyo ukiwa interested unaweza jifunza cha msingi tuache woga.