Mm pia nipo ruvuma nahtaji mashine ya kupandia alizet anayefahamu tujulishane..mashine ni ya mkonoNdugu na wadau mbalimbali wa kilimo naomba kujua ni mda gan mwafaka wa kulima alizeti? Yaan ni miez ipi ya msimu wa mvua inafaa. Mimi napatikana Ruvuma.
Ukitaka kuendela kuwa maskini lina alzert nililima ekari 10 nikavuna gumia saba sana nilikopa trekta suma jkt sijawahi ona helaHabari Wanajamvi,
Baada ya kujiunga JF si muda mrefu sana nimepata fursa nzuri ya kuweza kupitia threads mbalimbali hasa za ujasiriamali zilizonipa hamasa za kuchangamsha ubongo wangu kipi cha kufanya maana kuna mambo mengi sana yameongelewa na bado mengine mapya yanazidi kuongelewa.
Maamuzi niliyoyafikia ni kujaribu kilimo cha alizeti huko mkoani Singida,kwa nini basi ni Singida na si mikoa mingine?
Kwanza ni mkoa kati ya mikoa mingine unaokubali sana zao la alizeti,pili usimamizi kuwa rahisi upande wangu kwani kuna mwenyeji wangu huko Singida anayenisimamia kilimo hicho.
MREJESHO
Niliamua kuanza kulima kwa kujaribu hekari 2 maana ndio ilikuwa mara ya kwanza kuanza kilimo,taarifa nilizopewa na mwenyeji wangu ni kwamba hekari 1 ingeweza toa gunia 8-10 kutegemeana na rutuba ya udongo na hali ya hewa kipindi cha kilimo.
Kukodi hekari 1 kwa kilimo kwa miezi 6 ni 30,000/=, kuandaa shamba pamoja na kupanda kwa heka 30,000/= ,palizi kwa heka 20,000/= na ni mara moja tu, kwa hiyo hekari 2 zilinigharimu takribani sh.160,000/= za kitanzania.
MATOKEO
Kwa kweli nilichokipata sijakitegemea maana mipango yangu mingine italazimika kusimama kwa muda.
Hekari ya kwanza kuvunwa zimepatikana gunia 2 na debe 3 za alizeti, hekari nyingine gunia 3 na debe 2 jumla gunia 5 na debe 5, kwa kweli matokeo haya yamenivunja moyo mno.
Hvi sasa kwa taarifa nilizozipata ni kuwa gunia 1 la alizeti linauzwa kati ya sh 40,000-45,000.
MATARAJIO YANGU
Ninachotarajia ni kuendelea tu na kilimo ingawa msimu huu umeenda ovyo sana. Ninajipa moyo kwani nikiamua kuuza alizeti nilizozipata nitaweza japo kurudisha gharama nilizozitumia ktk kulima,naamini kuweza kurudisha cost nilizotumia ni bora kuliko kukosa kabisa kwani hata hivyo nimepata angalau uzoefu kidogo kwa kujaribu.
NILICHOJIFUNZA
Alizeti haitaki maji mengi sana, hii ni moja ya sababu iliyochangia kupata gunia chache, maana mwaka huu mvua nyingi sana imenyesha huko Singida na hata hapa Dar nimeliona hilo.
Uchaguzi wa mashamba ya kulima, ili uweze kupata matokeo mazuri inatakiwa uchaguzi mzuri wa shamba,upande wangu nilichelewa sana kutuma pesa hivyo mashamba mengi yenye rutuba yaliwahiwa na wakulima wengine.
N.B Sikutumia mbolea wala kitu kingine zaidi ya kutegemea rutuba ya udongo, ninaamin nayo ilichangia kwa matokeo haya mabaya.
MAAMUZI YANGU
Ni kutokata tamaa wala kushindwa maana nimejaribu na naamini ninaweza na nitaweza tu, siku zote najua kuwa unapopata tatizo ama matokeo mabaya kama haya cha kwanza ni kujua sababu (Causes) zilizopelekea matokeo hayo(Results),hata mwanamke akikumbia jaribu kutambua sababu zilizomfanya akukimbia ili hata mwingine utakayempata uweze kuzuia udhaif wak na si kuendelea tu kuhangaika kutafuta mwanamke mwingine bila kujua wa kwanza alikukimbia kwa sababu gani.
Ntaongeza idadi ya heka angalau heka 5 nione nitakachokipata,malengo yang ni kuongeza idadi ya heka kila mwaka wa kilimo hadi ntakapoona mafanikio mazur.
HAYO NDIO NILIYOYAPATA HUKO.
Nakaribisha Michango Yenu Ama Ushauri.
Asante JF..!!!!
Mi nadhani kilimo kizuri ni cha bustani,na kinachotegemea umwagiliajiUkitaka kuendela kuwa maskini lina alzert nililima ekari 10 nikavuna gumia saba sana nilikopa trekta suma jkt sijawahi ona hela
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli mwaka jana haukua mzuri sana afadhali kwako ulipata gunia mbili kwa heka mimi nililima heka 10 nikapata gunia 6 mvua ilizidi sana asilimia kubwa tulivuna mapukusa (mbegu tupu ambayo haina mafuta ndani) mwaka huu nimepumzikaHabari Wanajamvi,
Baada ya kujiunga JF si muda mrefu sana nimepata fursa nzuri ya kuweza kupitia threads mbalimbali hasa za ujasiriamali zilizonipa hamasa za kuchangamsha ubongo wangu kipi cha kufanya maana kuna mambo mengi sana yameongelewa na bado mengine mapya yanazidi kuongelewa.
Maamuzi niliyoyafikia ni kujaribu kilimo cha alizeti huko mkoani Singida,kwa nini basi ni Singida na si mikoa mingine?
Kwanza ni mkoa kati ya mikoa mingine unaokubali sana zao la alizeti,pili usimamizi kuwa rahisi upande wangu kwani kuna mwenyeji wangu huko Singida anayenisimamia kilimo hicho.
MREJESHO
Niliamua kuanza kulima kwa kujaribu hekari 2 maana ndio ilikuwa mara ya kwanza kuanza kilimo,taarifa nilizopewa na mwenyeji wangu ni kwamba hekari 1 ingeweza toa gunia 8-10 kutegemeana na rutuba ya udongo na hali ya hewa kipindi cha kilimo.
Kukodi hekari 1 kwa kilimo kwa miezi 6 ni 30,000/=, kuandaa shamba pamoja na kupanda kwa heka 30,000/= ,palizi kwa heka 20,000/= na ni mara moja tu, kwa hiyo hekari 2 zilinigharimu takribani sh.160,000/= za kitanzania.
MATOKEO
Kwa kweli nilichokipata sijakitegemea maana mipango yangu mingine italazimika kusimama kwa muda.
Hekari ya kwanza kuvunwa zimepatikana gunia 2 na debe 3 za alizeti, hekari nyingine gunia 3 na debe 2 jumla gunia 5 na debe 5, kwa kweli matokeo haya yamenivunja moyo mno.
Hvi sasa kwa taarifa nilizozipata ni kuwa gunia 1 la alizeti linauzwa kati ya sh 40,000-45,000.
MATARAJIO YANGU
Ninachotarajia ni kuendelea tu na kilimo ingawa msimu huu umeenda ovyo sana. Ninajipa moyo kwani nikiamua kuuza alizeti nilizozipata nitaweza japo kurudisha gharama nilizozitumia ktk kulima,naamini kuweza kurudisha cost nilizotumia ni bora kuliko kukosa kabisa kwani hata hivyo nimepata angalau uzoefu kidogo kwa kujaribu.
NILICHOJIFUNZA
Alizeti haitaki maji mengi sana, hii ni moja ya sababu iliyochangia kupata gunia chache, maana mwaka huu mvua nyingi sana imenyesha huko Singida na hata hapa Dar nimeliona hilo.
Uchaguzi wa mashamba ya kulima, ili uweze kupata matokeo mazuri inatakiwa uchaguzi mzuri wa shamba,upande wangu nilichelewa sana kutuma pesa hivyo mashamba mengi yenye rutuba yaliwahiwa na wakulima wengine.
N.B Sikutumia mbolea wala kitu kingine zaidi ya kutegemea rutuba ya udongo, ninaamin nayo ilichangia kwa matokeo haya mabaya.
MAAMUZI YANGU
Ni kutokata tamaa wala kushindwa maana nimejaribu na naamini ninaweza na nitaweza tu, siku zote najua kuwa unapopata tatizo ama matokeo mabaya kama haya cha kwanza ni kujua sababu (Causes) zilizopelekea matokeo hayo(Results),hata mwanamke akikumbia jaribu kutambua sababu zilizomfanya akukimbia ili hata mwingine utakayempata uweze kuzuia udhaif wak na si kuendelea tu kuhangaika kutafuta mwanamke mwingine bila kujua wa kwanza alikukimbia kwa sababu gani.
Ntaongeza idadi ya heka angalau heka 5 nione nitakachokipata,malengo yang ni kuongeza idadi ya heka kila mwaka wa kilimo hadi ntakapoona mafanikio mazur.
HAYO NDIO NILIYOYAPATA HUKO.
Nakaribisha Michango Yenu Ama Ushauri.
Asante JF..!!!!
Ukitaka kuendela kuwa maskini lina alzert nililima ekari 10 nikavuna gumia saba sana nilikopa trekta suma jkt sijawahi ona hela
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Mwaka huu nataka kulima alizeti ekari 50 singida. Natafuta trekta la kukodi. Una ushauri gani kwangu?
Mkuu bado unatumia blackberry!Sema ukweli asilimia kubwa ya watanzania wana fanya kilimo kwa mazoea kitu ambacho ni vigumu sana kupata matokeo anayo tarajia
Haya mambo ya jinsi ya kuboresha ardhi kuna wataaramu wake, pia ata mbinu za upandaji katika majila mbali mbali kuna wataalamu wake, nijambo tu la kuwaona bila kujali gharama, maana ukiziepuka izo ndio matokeo yana kuja ndivyo sivyo
Ushauri wangu kwa kila m2 anae taka kuji usisha na jambo lolote lile liwe kilimo au ufugaji N.k onana na wataalamu ili upate ujuzi wakitaalamu wa wambo unalo taka kulifanya
Nchi nyingine wana jali sana specialist ya mtu, niki maanisha kila mtu lazima afanye kazi yake, sasa TZ mkulima yeye mwenyewe ana taka kuwa Audit wa shamba lake katika Soil, Seeds, disease,farm planning, harvesting Methods. Wakati iv vitu vyote ukiwaona wataalamu wana kushauri vizuri jinsi gani ufanye
N.b; Agriculture needs big investment for Better results
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums