Mrejesho: Mnaotumia TTCL fiber mlifanyaje kuunganishiwa?

Mrejesho: Mnaotumia TTCL fiber mlifanyaje kuunganishiwa?

Annonymous

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
688
Reaction score
1,126
Habari wana jamvi. Baada ya jana kuhoji juu ya wengine mlipataje huduma ya fiber ya ttcl walinifata inbox na kuomba niwatumie email. Nmewasiliana nao jana na leo wamenipigia mara kadhaa nikiwa naendesha na nlipotulia wakanipigia (zaidi ya mara6)
Mrejesho ni kuwa: eneo langu limejaa na hivyo watafanya utaratibu wa kuongeza vifaa.
Ni lini wataongeza hata wao hawajui ila wameahidi watanipigia wakishamaliza kujenga connection mpya ambayo pia hawajui watajenga lini

Hata hivyo nmependa huduma kwa wateja yao.
Kwa jinsi nilivyosota toka january hadi leo ndio nafanikiwa kujibiwa maombi yangu sidhani kama mtu wa kawaida tu angeweza kukomaa miezi 12 kwa huduma ya fiber.
Ipo haha ttcl kuongeza uwekezaji kwenye huduma hii. Ingekuwa kampuni ya mtu binafsi ningesema mtaji wake ni mdogo ila kwakuwa ni shirika la serikali niishie kusema hawako serious maana serikali hiaiishiwagi mtaji
SO far cystomer care ni nzuri mno. Tatizo huduma
 
Sisi (taasisi) tumeomba mwaka mzima umeisha sasa wanasema nguzo hamna..
Nguzo zikija wanasema mafundi hamna
 
Hata hivyo nmependa huduma kwa wateja yao.
Hamna kitu mkuu acha kuwafagilia, mimi nina miezi takrbani 6 sasa nilifanya maombi July 25 hadi hv leo hakuna cha zaidi ya kupiga simu hawapokei na eneo ambalo mm nipo kuna miundo mbinu yao yote lkn sijafanikiwa kupata huduma zao. Nilivhofanya na share na jirani kwa makubaliano lkn hawa jamaa aisee ni taasisi fulani isiyojielewa na isiyo na vision na focus kbs. Nawaonea huruma sana kama Starlink watatua magui hapa, exixtence yao haipo kbs baada ya watu committed kuja kuanza kutoa huduma kama zao.
 
Mimi niliwatumia email toja July hadi sasa hawajawahi kunijibu

Nasubiri Starlink ya Elon.
 
Hamna kitu mkuu acha kuwafagilia, mimi nina miezi takrbani 6 sasa nilifanya maombi July 25 hadi hv leo hakuna cha zaidi ya kupiga simu hawapokei na eneo ambalo mm nipo kuna miundo mbinu yao yote lkn sijafanikiwa kupata huduma zao. Nilivhofanya na share na jirani kwa makubaliano lkn hawa jamaa aisee ni taasisi fulani isiyojielewa na isiyo na vision na focus kbs. Nawaonea huruma sana kama Starlink watatua magui hapa, exixtence yao haipo kbs baada ya watu committed kuja kuanza kutoa huduma kama zao.
We muache huko mbeleni najua atakuja kuwakataa mwenyewe
 
Nilipiga tukaongea vizuri, mwezi sasa hakuna kinachoendelea. Nilipo kuna miundombinu ni kuvuta cable tu... taasisi za serikali ni kama hawajitambui, au hawajui wanamfanyia nani kazi, au ni wazembe au wapumbavu...lolote kati ya hayo!!
 
Habari wana jamvi. Baada ya jana kuhoji juu ya wengine mlipataje huduma ya fiber ya ttcl walinifata inbox na kuomba niwatumie email. Nmewasiliana nao jana na leo wamenipigia mara kadhaa nikiwa naendesha na nlipotulia wakanipigia (zaidi ya mara6)
Mrejesho ni kuwa: eneo langu limejaa na hivyo watafanya utaratibu wa kuongeza vifaa.
Ni lini wataongeza hata wao hawajui ila wameahidi watanipigia wakishamaliza kujenga connection mpya ambayo pia hawajui watajenga lini

Hata hivyo nmependa huduma kwa wateja yao.
Kwa jinsi nilivyosota toka january hadi leo ndio nafanikiwa kujibiwa maombi yangu sidhani kama mtu wa kawaida tu angeweza kukomaa miezi 12 kwa huduma ya fiber.
Ipo haha ttcl kuongeza uwekezaji kwenye huduma hii. Ingekuwa kampuni ya mtu binafsi ningesema mtaji wake ni mdogo ila kwakuwa ni shirika la serikali niishie kusema hawako serious maana serikali hiaiishiwagi mtaji
SO far cystomer care ni nzuri mno. Tatizo huduma

Kiongozi, naomba unirushie namba yao DM na mimi niwacheki kama kwangu bado kuna nafasi ya kuunganishiwa
 
Nakuona umevaa ki tisheti cha TTCL unakatisha mtaa au unaingia ofcn,nakuona punguani kabisa.
Bora ukahudumie baba/mama ntilie tu huduma ni papo kwa papo,unaondoka umeshiba.
Ttcl ni zaidi mzoga.
Haujiwezi kujigeuza wala kujikuna.
Unaishia kunuka tu.
 
Shirika la ttcl Bora tu lingefutwa.halina tija yeyote
 
Back
Top Bottom