Mrejesho: Mpenzi wangu niliyemuacha baada ya kugundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, amekuja nyumbani kunifanyia fujo akisema simtunzi mtoto

Mrejesho: Mpenzi wangu niliyemuacha baada ya kugundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, amekuja nyumbani kunifanyia fujo akisema simtunzi mtoto

mikila miwili

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2021
Posts
563
Reaction score
561
Ndugu wanajamvi nawasalimu!

Niliwahi kuleta uzi humu kuwa nilimuacha mchumba wangu nilipogundua aliwahi kutoa mimba. Mimba zaidi ya tatu akiwa chuo kikuu. Amefika kufanya fujo nyumbanu last week huku akizusha vitu ambavyo si vya kweli. Anasema nina mtoto naye wa miaka 2 kitu ambacho ni uongo wa wazi.

Nahisi kuna kitu anatafuta kutoka kwangu. Hii ni baada ya kulia sana akiomba radhi ila nikakataa. Achilia mbali mzee wake(Meya wa manispaa fulani) kunitishia mno. Ila nilikazania msimamo wangu. Wakati huo wote sikuwahi shiriki naye ngono bila kinga. Na kinga zote nilikuwa nakuja nazo mimi na tulifanya kwa usahihi.

Hata angepata mimba basi kipindi tunaachana na mpaka sasa ni kidogo mno kwa yeye kusema ana mtoto wa miaka 2 na mimi. Issue kuu ni hii, uvumilivu ulinishinda alipokataa kuondoka hivyo nilimchapa na chain/nyororo miguuni kwani alikuwa ananitukana mno. Aliondoka akiahidi atanikomoa. Nimerekodi vitisho vyake na vya mzee wake nasubiri tu niitwe huko polisi.

Aisee kwenye heshima yangu nakuwa sina huruma kwa mtu yeyote. Na deal naye vipi huyu binti? Na tayaru baadhi ya ndugu zangu amewaaminisha ana damu yangu? Na wameanza kunisakama? Mpaka ustawi wa jamii ameshawahi kwenda na nikaitwa na kulazimishwa nilee mtoto asiye wangu?

Nashindwa kuelewa kama amehonga au la! Na deal vipi na hii familia though wana pesa ndefu? Nimejidhatiti ku deal nao
perpendicularly


Pia soma: Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo
 
Ushauri wangu ni kwamba, Huyo manzi mpuuze kabisa tena kwa nguvu umkatae huyo mtoto. Wanawake wana matatizo ya akili na matatizo hayo huongezeka wanapojikuta walipopaona Choo wakati ule sasa hivi watu wanakula na kusaza.
Usilegeze mzee na ukiona vipi unaweza kuhana hata mji kabisa
 
Kimbia mji tafuta sehemu kapoe kama mwezi hivi

Hii njia nzuri sana mimi demu wangu nilimla mdogo wake kipindi hicho yupo sekondari alivyojua lile varangati

Nilienda kupoa sehemu kama mwezi na kuendelea na mishe zangu kama kawaida
 
Ujinga ni ulivyompiga. Ukiweza hama hiyo sehemu hamia mkoa mwingine hata kama kwa muda mfupi
 
Najua kimpiga ni hasira na kuonesha uko serious ila usimpige tena.

Historia za wanawake waaina hiyo ninayo pia, akipokosa Kwa jamaa mmj akaanza kuniganda na mim. Akiomba hazai Tena kutokana na kuharibu kizaz.

Wanawake sijui wanafeli wapi. Ku abort wanatakiwa wakatae wachukie at first site. Ushauri. Jitahidi upime DNA lkn hata ikiwa itasoma positive, kataa pia. Maana yangu ni kwamba, ikiwa ni kweli na anachotaka ni matunza Mzee utakanuliwa, gharama ya 24 months. Eg. 500,000x miezi 24 zitakutoka na hatakubali uishi naye ila atakugeuza ATM.

Ikiwa utajifhirisha mtoto ni wako. Utaambua ufanyeje instead.
Mashaka. Nina mashaka utadaiwaje mtoto ni wako bila kula kavukavu???

Mzee usije ukawa unapiga
 
Huna haja haya ya kuhama mooa. Hama yu mtaa nenda mtaa wa mbali kama ni mjini hawezi jua.
 
Najua kimpiga ni hasira na kuonesha uko serious ila usimpige tena.

Historia za wanawake waaina hiyo ninayo pia, akipokosa Kwa jamaa mmj akaanza kuniganda na mim. Akiomba hazai Tena kutokana na kuharibu kizaz.

Wanawake sijui wanafeli wapi. Ku abort wanatakiwa wakatae wachukie at first site. Ushauri. Jitahidi upime DNA lkn hata ikiwa itasoma positive, kataa pia. Maana yangu ni kwamba, ikiwa ni kweli na anachotaka ni matunza Mzee utakanuliwa, gharama ya 24 months. Eg. 500,000x miezi 24 zitakutoka na hatakubali uishi naye ila atakugeuza ATM.

Ikiwa utajifhirisha mtoto ni wako. Utaambua ufanyeje instead.
Mashaka. Nina mashaka utadaiwaje mtoto ni wako bila kula kavukavu???

Mzee usije ukawa unapiga
Hizo DNA labda akapimie Kenya nakwambia, kwa ushahidi nilionao kupima DNA ya mtoto hapa Tz usitegemee kupata majibu sahihi, labda itokee mnagombea mtoto wanaume wawili, lakini kinyume chake utaambiwa ni wa kwako tu
 
Usikimbie majukumu yako bhana, wajibika.
 
Hizo DNA labda akapimie Kenya nakwambia, kwa ushahidi nilionao kupima DNA ya mtoto hapa Tz usitegemee kupata majibu sahihi, labda itokee mnagombea mtoto wanaume wawili, lakini kinyume chake utaambiwa ni wa kwako tu
Hata mimi niliwahi kusikia hiyo ishu. Hapo nahisi nikumkana tu kuwa huna mtoto naye.
 
Sasa kama kwao uyo demu kuna ela iweje akugande si atumie pesa za baba ake kumlea uyo mtoto, wewe aina haja ya kukimbia tulia hapo hapo kikubwa simama kwenye misimamo yako mpk ujue mbivu na mbichi by ze way huwez kimbia tatizo
 
Kimbia mji tafuta sehemu kapoe kama mwezi hivi

Hii njia nzuri sana mimi demu wangu nilimla mdogo wake kipindi hicho yupo sekondari alivyojua lile varangati

Nilienda kupoa sehemu kama mwezi na kuendelea na mishe zangu kama kawaida

Ukajikuta chekinoriz sio. Na mwanao ni ataliwa hivo hivo
 
Duu mkuu imeendeleaje coz Ni mda now ushapita.
Ndugu wanajamvi nawasalimu!

Niliwahi kuleta uzi humu kuwa nilimuacha mchumba wangu nilipogundua aliwahi kutoa mimba. Mimba zaidi ya tatu akiwa chuo kikuu. Amefika kufanya fujo nyumbanu last week huku akizusha vitu ambavyo si vya kweli. Anasema nina mtoto naye wa miaka 2 kitu ambacho ni uongo wa wazi.

Nahisi kuna kitu anatafuta kutoka kwangu. Hii ni baada ya kulia sana akiomba radhi ila nikakataa. Achilia mbali mzee wake(Meya wa manispaa fulani) kunitishia mno. Ila nilikazania msimamo wangu. Wakati huo wote sikuwahi shiriki naye ngono bila kinga. Na kinga zote nilikuwa nakuja nazo mimi na tulifanya kwa usahihi.

Hata angepata mimba basi kipindi tunaachana na mpaka sasa ni kidogo mno kwa yeye kusema ana mtoto wa miaka 2 na mimi. Issue kuu ni hii, uvumilivu ulinishinda alipokataa kuondoka hivyo nilimchapa na chain/nyororo miguuni kwani alikuwa ananitukana mno. Aliondoka akiahidi atanikomoa. Nimerekodi vitisho vyake na vya mzee wake nasubiri tu niitwe huko polisi.

Aisee kwenye heshima yangu nakuwa sina huruma kwa mtu yeyote. Na deal naye vipi huyu binti? Na tayaru baadhi ya ndugu zangu amewaaminisha ana damu yangu? Na wameanza kunisakama? Mpaka ustawi wa jamii ameshawahi kwenda na nikaitwa na kulazimishwa nilee mtoto asiye wangu?

Nashindwa kuelewa kama amehonga au la! Na deal vipi na hii familia though wana pesa ndefu? Nimejidhatiti ku deal nao
perpendicularly


Pia soma: Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo
 
Back
Top Bottom