themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,806
- 2,830
Mbona hujaniita kwenye hiki ajabu jipya la Sayari???Ha ha ha ha hakyamungu mapenzi mapya kama nguo ya sikukuu kwa mtoto wa tandale
Tena utukome wasukuma kama unamsema mseme mtoa mada yeye mwenyewe usituingize na sie kwenye mambo yake ebooo[emoji16] [emoji19]Mbona hujaniita kwenye hiki ajabu jipya la Sayari???
Hii njemba imejoin JF February mwaka huu, na February mwaka huu ishapata mke!!!
Ama kweli, msukuma ni msukuma tu!!
Nimwevulia kofia... Maana kuna jogoo langu kitombi balaa, limemaliza mwezi sasa bado linasaka mtetea wa kutotolesha halijapata...
Mbona leo hujaachia mfyonyo??Tena utukome wasukuma kama unamsema mseme mtoa mada yeye mwenyewe usituingize na sie kwenye mambo yake ebooo[emoji16] [emoji19]
Mxiuuuuuuuuu kizee wewe[emoji34] [emoji57] [emoji57]Mbona leo hujaachia mfyonyo??
Miguu yako tu inaweza fanya nitangaze ndoa kama msukuma na mm [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mxiuuuuuuuuu kizee wewe[emoji34] [emoji57] [emoji57]
Hiyo mbona nshaizoea? Huna mpya??Mxiuuuuuuuuu kizee wewe[emoji34] [emoji57] [emoji57]
Tangaza tu mkuu maana hakuna namnaMiguu yako tu inaweza fanya nitangaze ndoa kama msukuma na mm [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kamata fursa hiyo ya toto la kisukuma... wiki mbili tu unaweza kufanikiwa kama blaza ake alivyofanikiwa...Miguu yako tu inaweza fanya nitangaze ndoa kama msukuma na mm [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nahisi tayari kuna mtu alisha jitangaza humu juu yako[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Natangaza tu mkuu maana hakuna namna
Kafie mbele huko hembu nyamaza kwanza kuna mtu anataka kutangaza ndoaHiyo mbona nshaizoea? Huna mpya??
Nani huyo jamani?Mbona mie simjui?Nahisi tayari kuna mtu alisha jitangaza humu juu yako[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Maana siku nikikupeleka kwetu wata furahi sana maana mwanamke mweupe kwetu tunatoaga mahari kubwa sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji7]Kafie mbele huko hembu nyamaza kwanza kuna mtu anataka kutangaza ndoa
Mkuu futa uo mpango.mwenzio Niko mochwari kwasababu ya Honey FaithMiguu yako tu inaweza fanya nitangaze ndoa kama msukuma na mm [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
We acha tu... Nimecheka sanaHa ha ha ha hakyamungu mapenzi mapya kama nguo ya sikukuu kwa mtoto wa tandale