Mrejesho muhimu: Madhara ya dawa za kupunguza uzito

kupunguza uzito na unene si kazi ndogo inabidi ujitoe kweli....achana na madawa..fanya zoezi...nilikuwa na kilo 90...mwili nyumba....ukiniona sasa unaweza kukataa
 
Kunywa maji moto glass moja yachanganye na limao na kitunguu swaum kilichotwangwa kila siku utaona itakavyokusaidia
 
asante ngoja nipone kwanza
Jitahadi kula mboga mboga sana ili kuongeza damu.Maumivu yakizidi muone Dr.Mi nashukuru nlivotaka kupunguza uzito nlipunguza tu kiasi cha msosi tu basi na imenisaidia.
 
Asante mkuu kwa kuongezea zaidi.Aachane na hayo madawa sio mazuri
Yale ni matangazo unaweza ukapoteza maisha....

Kuna mmoja alikunywa, aliharisha mpaka akashindwa kusimama akiwa chooni..

Ni kuwa makini sanaa
 
kupunguza uzito na unene si kazi ndogo inabidi ujitoe kweli....achana na madawa..fanya zoezi...nilikuwa na kilo 90...mwili nyumba....ukiniona sasa unaweza kukataa
Zoezi huwa ni zuri mnoo... Ukiweza walau hata mara tatu kwa wiki
 
nina hamu sana ya kupungua hata nikiambiwa kinyesi kinapunguza mwili nitakula
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Usiwe desparate sana take one day as it comes. Usijipe stress sana, wataalamu wanasema stress inaweza ikasababisha kuongezeka uzito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…