Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri

Nasiche

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2019
Posts
291
Reaction score
735
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa na serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:Graduate
Kazi:Ya kudumu
Rangi: Mweupe pee
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Makazi; DSM

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uliweka na bado umekosa mpaka sahivi my dia angalia na hao wa huko mtaani kwenu.
Check na Ex zako
Check na co workers
Kacheck pia na huko unakoenda kuamia "Dodoma
Check na wakanisani
Btw kila la kheri
 
Habari za muda huu wana jf

Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa na pm nyingi hata zingine si kuweza kufungua wala kujibu, (I'm sorry kama nitakuwa nimekosea kusema hayo).

Bado nahitaji kuwa serious relationship
Sifa zangu
Mkristo :Madhehebu ya protestant
Umri:27-30
Elimu:BSc.
Kazi:Nina mkataba wa kudumu
Ukanda:Kanda ya kaskazini
Rangi: Maji ya kunde
Urefu:Above 150
Body : Mwembamba
Nilikuwa dar es salaam kimakazi ila kwa sasa nitakuwa dodoma makazi mapya

Sifa za mwanaume ambaye nimekuwa nikimuomba
Asiwe mlevi au mnywaji wa pombe sigara, asiyependa tattoo, kiduku wala mambo yanayofanana na hayo(na Amini kila mtu ana vipaumbele vyake)

Mkristo mwenye hofu ya Mungu anayependa ibada na asiye na mambo mengi

Awe mtafutaji ambaye yupo tayari kushaurika

Inafaa awe na elimu kama yangu au anizidi kama elimu yake ipo chini awe mwenye kujiamini sana Asiwe na zile mitazamo za kiafrica ili tusiwe na migogoro( only great thinker will understand)

Hayo nafikiri yanatosha

Mungu naomba nisaidie nisikutane na mabaharia naomba pm aje mtu sahihi peke yake , amen

Karibu






Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengine hata ukijifanya unatafuta huku JF hawapo, we kamata kijana kazini yuko, mtaani, ndugu wa rafiki zako tengeneza nae maisha, ila napenda kujua kama unabikra!
 
Mtu sahihi yupo miongoni wa zile pm ambazo hukuweza kuzifungua.kafungue zile pm ulizoacha ndio urudi tena huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Let's me try kama hata tokea nimebakiza 15
IMG_20200323_184326_755.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom