Kila jambo na wakati wake.Nyingi ni story za kuchangamsha jukwaa
Tumepigwa kweli kweli hapaWhy I feel tumepigwa?..
Tumetoa mapovu ya ushauri usikute ni utunzi mtupu..
Mi mwanamke, hilo swali waulize wanaume ssMke haumiii ??
Mhhh!Habari za humu wana JF, natumai wote mko njema.
Natambua baada ya kuleta uzi wangu huu
Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo: Nimekuwa na mahusiano na mu
Tupo ila nyie mnazingua mnooMbona mi sikutani na wanaume was hivi jmn!?[emoji16]
Kuleni chai na matembele muongeze nguvu ya mwili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona mi sikutani na wanaume was hivi jmn!?[emoji16]
Chuki gani tena jamani mwanaume unakuwa nayo towards mwanmke ambaye anatumia mbususu yake kupata nyumba na viwanja?Ila mbona tena na mamen wanapatwa na chuki na papuchi ya huyu mwanamke , hawaamini kwanza kwamba mwanamke huyu amechakatwa vyema, na zaidi amepewa hati sijui
Wanawake wanaojua kuthamini wanaume wapo pia shughuli ni kukutana nao ila wapo.Mimi binafsi naweza kua kama huyo mwanaume wa mleta mada , pengine na kuzidi.
Ila sasa wanawake wenyewe sasa!!!!
Ee Mungu naomba utupe wepesi sisi wanaume, tunateseka mnoooooo!
Ni kweli wapo wanawake wazuri na wanaume wazuri pia, ila wengi wao wamekwisha wahiwa au wameshaumizwa wanamajeraha kwa hiyo wako na tahadhari kubwa, sasa kwenye hio tahadhari ndio paweza kuonyesha hawathamini, ila wana thamini sana. Kukutana ndio hoja kama ulivyo sema.Wanawake wanaojua kuthamini wanaume wapo pia shughuli ni kukutana nao ila wapo.
[emoji2][emoji2][emoji2]Heavy thing on our heads