mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Jino langu linauma sana usiku
Hili ni jino langu la kwanza kung'oa.
Wakuu nimevumilia maumivu ya hili jino kwa miaka 10 sasa.
Jana na lenyewe likazidisha maumivu makali mno, nilibaatika kupata chembe ya usingizi saa saba usiku ila saa tisa ukaisha nikaendelea kuumwa sana, saa tisa na nusu nilikuwa nimeshaoga na kuvaa tayari kwa kumuona dr.
Nimeindoka nyumbani saa kumi ndani ya lisaa tu nilishafika.
Dr. Alikuja saa mbili akanikuta nimekaa mlangoni.
Sababu ya uvumilivu huu ni kuogopa kuchomwa sindano ya mdomoni. Naogopa sana sindano
Pili niliambiwa uking'oa, wadudu huamia jino linolofuata, ila nimekuta na watu wengi sana ambao wameng'oa bila kupitia hali hii
Tatu nilikuwa mdogo naogopa kuwa kibogoyo, ndani ya hii miaka nshakuwa mzee mjue ee. So wacha ning'oe
Napenda kuwatia moyo hakuna maumivu ya hiivyo. Kayatoeni tu, kama yanauma ndo dawa.
Ndani ya hii miaka 10 nimetumia kila aina ya dawa mnayoijua ila zilinikataa.
Nawashukuru kwa ushauri pamoja na kwamba nilichelewa kuchukua maamuzi sahihi ya kulitoa kama wengi mlivyoshauri.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hili ni jino langu la kwanza kung'oa.
Wakuu nimevumilia maumivu ya hili jino kwa miaka 10 sasa.
Jana na lenyewe likazidisha maumivu makali mno, nilibaatika kupata chembe ya usingizi saa saba usiku ila saa tisa ukaisha nikaendelea kuumwa sana, saa tisa na nusu nilikuwa nimeshaoga na kuvaa tayari kwa kumuona dr.
Nimeindoka nyumbani saa kumi ndani ya lisaa tu nilishafika.
Dr. Alikuja saa mbili akanikuta nimekaa mlangoni.
Sababu ya uvumilivu huu ni kuogopa kuchomwa sindano ya mdomoni. Naogopa sana sindano
Pili niliambiwa uking'oa, wadudu huamia jino linolofuata, ila nimekuta na watu wengi sana ambao wameng'oa bila kupitia hali hii
Tatu nilikuwa mdogo naogopa kuwa kibogoyo, ndani ya hii miaka nshakuwa mzee mjue ee. So wacha ning'oe
Napenda kuwatia moyo hakuna maumivu ya hiivyo. Kayatoeni tu, kama yanauma ndo dawa.
Ndani ya hii miaka 10 nimetumia kila aina ya dawa mnayoijua ila zilinikataa.
Nawashukuru kwa ushauri pamoja na kwamba nilichelewa kuchukua maamuzi sahihi ya kulitoa kama wengi mlivyoshauri.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app