milton jackson
Member
- Apr 20, 2017
- 32
- 15
KWELI watu tunatofautiana ITIKADI.. mie demu BIKRA SIHITAJI KUMSIKIA KABISA.... wanakera vibaya mnoNimempatia mtaani kwetu sio Jf...ana miaka 23yrs....maelezo mengi nimepunguza maana watu wasiojielewa wameanza kunitukana na kunipa majungu kisa tu nimebahatika kuwa na demu bikra....muandamne bac kama hamuani maana humu kuna mabingwa wa kupinga tu ..mnaboa
Mbona maelezo yako umeandika kama mtoto wa kike.Nimempatia mtaani kwetu sio Jf...ana miaka 23yrs....maelezo mengi nimepunguza maana watu wasiojielewa wameanza kunitukana na kunipa majungu kisa tu nimebahatika kuwa na demu bikra....muandamne bac kama hamuani maana humu kuna mabingwa wa kupinga tu ..mnaboa
kuna nesi kakutwa bikra wodi ya wazaziKama ni mwanachuo,, Akili za kuambiwa changanya na zako..... Wanikumbusha bikra kupatkana wodi LA wazazi,,
Na ndio maana nmesema bikra kupatkana sio kutopatkanakuna nesi kakutwa bikra wodi ya wazazi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120]Ahsante sana ngoja nimalizie sukari yangu hii iliyokuwa imebaki kijiko kimoja
Nimempatia mtaani kwetu sio Jf...ana miaka 23yrs....maelezo mengi nimepunguza maana watu wasiojielewa wameanza kunitukana na kunipa majungu kisa tu nimebahatika kuwa na demu bikra....muandamne bac kama hamuani maana humu kuna mabingwa wa kupinga tu ..mnaboa[/QUOTE
Wewe mwenyewe ni bikra