dar to moro
Member
- Apr 27, 2018
- 23
- 21
Wewee!? Mara hii tayari?!Za jioni wapendwa,
Baada ya kuweka uzi wangu huu >> Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa hatimaye nimepata niliyekuwa namtaka.
Asanteni kwa wote walioshiriki ila nimeshapata na ndio chaguo langu.
Mkuu una uhakika lakini naona kama gafla bin vuuuuu. [emoji23] [emoji23]Za jioni wapendwa,
Baada ya kuweka uzi wangu huu >> Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa hatimaye nimepata niliyekuwa namtaka.
Asanteni kwa wote walioshiriki ila nimeshapata na ndio chaguo langu.
Congratulations!.Za jioni wapendwa,
Baada ya kuweka uzi wangu huu >> Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa hatimaye nimepata niliyekuwa namtaka.
Asanteni kwa wote walioshiriki ila nimeshapata na ndio chaguo langu.
true i must be careCongratulations!.
But be care!.
Yah! Kumbe dats Y!true i must be care
nimepata mume sio wifeUmejiunga juz umeshapta na wife kabisa, wengine tupo njian bado
Unafaa kuanza hata darasa la kwanza kwa jinsi ulivyo.Khe [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....hongera
Jamani na Mimi natafuta mume ...sifa yangu mimi ni mfupi mwembamba chura sina