Mrejesho: Nimeshindwa kuziacha beta blocker ila nimefanikiwa kupima tena upya vipimo vya ECHO na ECG

Mrejesho: Nimeshindwa kuziacha beta blocker ila nimefanikiwa kupima tena upya vipimo vya ECHO na ECG

Ryder2

Member
Joined
Sep 11, 2021
Posts
81
Reaction score
88
>>HABARI ZA MUDA HUU WAKUU!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kwa kifupi nimekua nikitumia beta blocker kwa takriban inaelekea kufika miezi 8 hivi na baada ya muda kidogo kuringana na ushauri wa doctor kwa kuniambia niache kutumia hizi dawa beta blocker (NEBIVOLOL 5MG TAB), hivyo nikaona sio mbaya kuziacha nikajaribu bahati yangu kwani nilifanikiwa kuziacha hizi dawa kwa muda wa takriban week 3 na siku kadhaa ila muda huo nilishapunguza dozi hivyo dozi nilikua natumia kipindi hicho ni NEBIVOLOL 1.25MG ( ROBO KIDONGE).

Kuacha kwa hizi dawa kuliambatana na madhara mengi sana yakiwemo
  • Kizunguzungu kikali sana
  • Mwili kuishiwa nguvu
  • Kukosa concentration na balance ya mwili
  • Mapigo ya moyo yalipanda zaidi ila kwa usiku yalikua yanatulia
  • Mikono kua ya baridi na miguu
  • Kuchoka sana
  • Presha pia ilikua abnormal ila nilicontrol kwa kula ndizi na machungwa.
Kutoka na madhara hapo juu nilivumilia kwa muda wa week hizo mwisho nikaona nisije nikafa gafla, hivyo nikaamua kuzirudia dawa zangu kama kawaida ila kwa dozi ndogo ya NEBIVOLOL 2.5MG ( NUSU KIDONGE)

> Muda ulienda ndipo nikaamua kuwasiliana na dokta wangu wa magonjwa ya moyo na tukakubaliana na tarehe ya Vipimo vya ECG na ECHO na majibu yakawa kama ifuatavyo:

ECHO: Kipimo kilisema ESSENTIALLY NORMAL ECHO FINDING'S yani
  • ALL VALVES ARE NORMAL IN STRUCTURE AND FUNCTIONS
  • NORMAL SIZED CARDIAC CHAMBERS
  • LV- UNIFORM CONTRACTILITY
  • NORMAL SYSTOLIC FUNCTION WITH LVEF 64.38%
  • NORMAL DIASTOLIC FUNCTION
  • IVC-NORMAL, NO SHUNT/THROMBUS , NORMAL PERICARDIUM
CONCLUSION>>ESSENTIALLY NORMAL ECHO FINDINGS.
HAYA MAJIBU HAYANA TOFAUTI NA YALIOPITA ISIPOKUA KWENYE LVEF MWANZO ILIKUA LVEF 71% BUT NOW IMESHUKA HADI LVEF 64.38% (HAPA NAONA KUNA IMPROVEMENTS KIDOGO)

KUHUSU KIPIMO CHA ECG NACHO KWA SASA KIMESOMA SINUS ARRYTHMIA ( BORDERLINE ABNORMAL ECG)

Ambapo kulingana na maelezo ya dokata anasema sinus arrythmia sio ugonjwa wa moyo ni hali tu huwa inawatokea watu na upotea kadri umri unavozidi kusogea( old age) na haina madhara yoyote yale kiafya.
Ila dokta ameshauri niendelee tu na hizi dowa kwa dozi ndogo tu mambo yatakua mazuri tu hapo badae

HITIMISHO: Nimejifunza mengi sana kuhusu hili tatizo na maajabu kwetu hakuna mtu mwenye ugonjwa wa moyo wala magonjwa chronic yoyote ila ndo hivyo tu may be Mungu ndo kanipa mtihani wangu hapa duniani hivyo inabidi niishi hivyo.

TUMRUDIE MWENYEZI MUNGU KWANI KWAKE HAKUNA KINACHOSHINDIKANA
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kwa kifupi nimekua nikitumia beta blocker kwa takriban inaelekea kufika miezi 8 hivi na baada ya muda kidogo kuringana na ushauri wa doctor kwa kuniambia niache kutumia hizi dawa beta blocker (NEBIVOLOL 5MG TAB), hivyo nikaona sio mbaya kuziacha nikajaribu bahati yangu kwani nilifanikiwa kuziacha hizi dawa kwa muda wa takriban week 3 na siku kadhaa ila muda huo nilishapunguza dozi hivyo dozi nilikua natumia kipindi hicho ni NEBIVOLOL 1.25MG ( ROBO KIDONGE). Kuacha kwa hizi dawa kuliambatana na madhara mengi sana yakiwemo :
#Kizunguzungu kikali sana
#Mwili kuishiwa nguvu
#Kukosa concentration na balance ya mwili
#Mapigo ya moyo yalipanda zaidi ila kwa usiku yalikua yanatulia
#Mikono kua ya baridi na miguu
#Kuchoka sana
#Presha pia ilikua abnormal ila nilicontrol kwa kula ndizi na machungwa.
Kutoka na madhara hapo juu nilivumilia kwa muda wa week hizo mwisho nikaona nisije nikafa gafla, hivyo nikaamua kuzirudia dawa zangu kama kawaida ila kwa dozi ndogo ya NEBIVOLOL 2.5MG ( NUSU KIDONGE)



ECHO: Kipimo kilisema ESSENTIALLY NORMAL ECHO FINDING'S yani
*ALL VALVES ARE NORMAL IN STRUCTURE AND FUNCTIONS
*NORMAL SIZED CARDIAC CHAMBERS
*LV- UNIFORM CONTRACTILITY
*NORMAL SYSTOLIC FUNCTION WITH LVEF 64.38%
*NORMAL DIASTOLIC FUNCTION
*IVC-NORMAL, NO SHUNT/THROMBUS , NORMAL PERICARDIUM
CONCLUSION>>ESSENTIALLY NORMAL ECHO FINDINGS.
HAYA MAJIBU HAYANA TOFAUTI NA YALIOPITA ISIPOKUA KWENYE LVEF MWANZO ILIKUA LVEF 71% BUT NOW IMESHUKA HADI LVEF 64.38% (HAPA NAONA KUNA IMPROVEMENTS KIDOGO)

KUHUSU KIPIMO CHA ECG NACHO KWA SASA KIMESOMA SINUS ARRYTHMIA ( BORDERLINE ABNORMAL ECG)


HITIMISHO: Nimejifunza mengi sana kuhusu hili tatizo na maajabu kwetu hakuna mtu mwenye ugonjwa wa moyo wala magonjwa chronic yoyote ila ndo hivyo tu may be Mungu ndo kanipa mtihani wangu hapa duniani hivyo inabidi niishi hivyo. TUMRUDIE MWENYEZI MUNGU KWANI KWAKE HAKUNA KINACHOSHINDIKANA
Pole,
1: Hayo majibu ya ECG yamepitiwa na cardiologist?
Maana kwa msingi huo ni Sinus/kianzisha mapigo ya moyo ndo kinakuwa na shida katika kuanziaha umeme ndani ya mishipa ya fahamu na misuli ya moyo.

2: Ejection fraction ya LV 64% ni nzuri. Kawaida ni 50%-75%.

NB: Ni vyema kuwa na kliniki ambayo utakuwa na mpangilio wa kufuatilia maendeleo yako. Pia kupata maelekezo ya nini ufanye au usifanye kwa kulinda afya yako.
 
Pole,
1: Hayo majibu ya ECG yamepitiwa na cardiologist?
Maana kwa msingi huo ni Sinus/kianzisha mapigo ya moyo ndo kinakuwa na shida katika kuanziaha umeme ndani ya mishipa ya fahamu na misuli ya moyo.

2: Ejection fraction ya LV 64% ni nzuri. Kawaida ni 50%-75%.

NB: Ni vyema kuwa na kliniki ambayo utakuwa na mpangilio wa kufuatilia maendeleo yako. Pia kupata maelekezo ya nini ufanye au usifanye kwa kulinda afya yako.
> Kapitia cardiologist mwenyewe au dokta aliwah kunianzishia dawa maana shida nilikua napata ni kupumua kwa shida na mapigo kua juu basi. maana dokta anasema sinus arrythmia ni kawaida tu haina madhara kwenye moyo

>Kuhusu ejection fraction kabla sijaanza madawa ilikua 71% au nilikosea kuanzishiwa dawa mkuu? maana mbona nilikua normal tu.
 
Tafsiri ya ubora wa ejection fraction ni kuwa iende juu karibu na 75%. Ingawa kawaida ni 50-75%.

Kuanzishiwa dawa: hii ilitokana na jinsi mwenendo wa mapigo ya moyo yanavyokuwa hayaendi sawa mpa yanaathiri utendaji wa moyo nawe kupata athari kwenye viungo vingine. Hilo ndo huleta dalili mbalimbali unazozipata.

Dawa unayotumia inafanya kazi kwa ku-organize/pangilia mapigo ya moyo. Ili moyo uweze kutimiza majukumu yake vyema.
 
Tafsiri ya ubora wa ejection fraction ni kuwa iende juu karibu na 75%. Ingawa kawaida ni 50-75%.

Kuanzishiwa dawa: hii ilitokana na jinsi mwenendo wa mapigo ya moyo yanavyokuwa hayaendi sawa mpa yanaathiri utendaji wa moyo nawe kupata athari kwenye viungo vingine. Hilo ndo huleta dalili mbalimbali unazozipata.

Dawa unayotumia inafanya kazi kwa ku-organize/pangilia mapigo ya moyo. Ili moyo uweze kutimiza majukumu yake vyema.
Sawa mkuu ngoja nione hali itavyokua maana ntakua napima mara kwa mara.
 
Tafsiri ya ubora wa ejection fraction ni kuwa iende juu karibu na 75%. Ingawa kawaida ni 50-75%.

Kuanzishiwa dawa: hii ilitokana na jinsi mwenendo wa mapigo ya moyo yanavyokuwa hayaendi sawa mpa yanaathiri utendaji wa moyo nawe kupata athari kwenye viungo vingine. Hilo ndo huleta dalili mbalimbali unazozipata.

Dawa unayotumia inafanya kazi kwa ku-organize/pangilia mapigo ya moyo. Ili moyo uweze kutimiza majukumu yake vyema.
Umenikumbusha ndugu yangu alikutwa na ugonjwa wa moyo kutanuka,. Ejection Fraction yake ilikuwa 86%
 
Umenikumbusha ndugu yangu alikutwa na ugonjwa wa moyo kutanuka,. Ejection Fraction yake ilikuwa 86%
Daah pole yake mkuu vp maendeleo yake baada ya matatibabu mkuu je aliwahi kufanya vipimo tena?
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kwa kifupi nimekua nikitumia beta blocker kwa takriban inaelekea kufika miezi 8 hivi na baada ya muda kidogo kuringana na ushauri wa doctor kwa kuniambia niache kutumia hizi dawa beta blocker (NEBIVOLOL 5MG TAB), hivyo nikaona sio mbaya kuziacha nikajaribu bahati yangu kwani nilifanikiwa kuziacha hizi dawa kwa muda wa takriban week 3 na siku kadhaa ila muda huo nilishapunguza dozi hivyo dozi nilikua natumia kipindi hicho ni NEBIVOLOL 1.25MG ( ROBO KIDONGE).

Kuacha kwa hizi dawa kuliambatana na madhara mengi sana yakiwemo
  • Kizunguzungu kikali sana
  • Mwili kuishiwa nguvu
  • Kukosa concentration na balance ya mwili
  • Mapigo ya moyo yalipanda zaidi ila kwa usiku yalikua yanatulia
  • Mikono kua ya baridi na miguu
  • Kuchoka sana
  • Presha pia ilikua abnormal ila nilicontrol kwa kula ndizi na machungwa.
Kutoka na madhara hapo juu nilivumilia kwa muda wa week hizo mwisho nikaona nisije nikafa gafla, hivyo nikaamua kuzirudia dawa zangu kama kawaida ila kwa dozi ndogo ya NEBIVOLOL 2.5MG ( NUSU KIDONGE)



ECHO: Kipimo kilisema ESSENTIALLY NORMAL ECHO FINDING'S yani
  • ALL VALVES ARE NORMAL IN STRUCTURE AND FUNCTIONS
  • NORMAL SIZED CARDIAC CHAMBERS
  • LV- UNIFORM CONTRACTILITY
  • NORMAL SYSTOLIC FUNCTION WITH LVEF 64.38%
  • NORMAL DIASTOLIC FUNCTION
  • IVC-NORMAL, NO SHUNT/THROMBUS , NORMAL PERICARDIUM
CONCLUSION>>ESSENTIALLY NORMAL ECHO FINDINGS.
HAYA MAJIBU HAYANA TOFAUTI NA YALIOPITA ISIPOKUA KWENYE LVEF MWANZO ILIKUA LVEF 71% BUT NOW IMESHUKA HADI LVEF 64.38% (HAPA NAONA KUNA IMPROVEMENTS KIDOGO)

KUHUSU KIPIMO CHA ECG NACHO KWA SASA KIMESOMA SINUS ARRYTHMIA ( BORDERLINE ABNORMAL ECG)




HITIMISHO: Nimejifunza mengi sana kuhusu hili tatizo na maajabu kwetu hakuna mtu mwenye ugonjwa wa moyo wala magonjwa chronic yoyote ila ndo hivyo tu may be Mungu ndo kanipa mtihani wangu hapa duniani hivyo inabidi niishi hivyo.

TUMRUDIE MWENYEZI MUNGU KWANI KWAKE HAKUNA KINACHOSHINDIKANA
Endelea kutumia kaka afya ni mtaji. Mimi mwenyewe natumia shida ni hyo hyo
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kwa kifupi nimekua nikitumia beta blocker kwa takriban inaelekea kufika miezi 8 hivi na baada ya muda kidogo kuringana na ushauri wa doctor kwa kuniambia niache kutumia hizi dawa beta blocker (NEBIVOLOL 5MG TAB), hivyo nikaona sio mbaya kuziacha nikajaribu bahati yangu kwani nilifanikiwa kuziacha hizi dawa kwa muda wa takriban week 3 na siku kadhaa ila muda huo nilishapunguza dozi hivyo dozi nilikua natumia kipindi hicho ni NEBIVOLOL 1.25MG ( ROBO KIDONGE).

Kuacha kwa hizi dawa kuliambatana na madhara mengi sana yakiwemo
  • Kizunguzungu kikali sana
  • Mwili kuishiwa nguvu
  • Kukosa concentration na balance ya mwili
  • Mapigo ya moyo yalipanda zaidi ila kwa usiku yalikua yanatulia
  • Mikono kua ya baridi na miguu
  • Kuchoka sana
  • Presha pia ilikua abnormal ila nilicontrol kwa kula ndizi na machungwa.
Kutoka na madhara hapo juu nilivumilia kwa muda wa week hizo mwisho nikaona nisije nikafa gafla, hivyo nikaamua kuzirudia dawa zangu kama kawaida ila kwa dozi ndogo ya NEBIVOLOL 2.5MG ( NUSU KIDONGE)



ECHO: Kipimo kilisema ESSENTIALLY NORMAL ECHO FINDING'S yani
  • ALL VALVES ARE NORMAL IN STRUCTURE AND FUNCTIONS
  • NORMAL SIZED CARDIAC CHAMBERS
  • LV- UNIFORM CONTRACTILITY
  • NORMAL SYSTOLIC FUNCTION WITH LVEF 64.38%
  • NORMAL DIASTOLIC FUNCTION
  • IVC-NORMAL, NO SHUNT/THROMBUS , NORMAL PERICARDIUM
CONCLUSION>>ESSENTIALLY NORMAL ECHO FINDINGS.
HAYA MAJIBU HAYANA TOFAUTI NA YALIOPITA ISIPOKUA KWENYE LVEF MWANZO ILIKUA LVEF 71% BUT NOW IMESHUKA HADI LVEF 64.38% (HAPA NAONA KUNA IMPROVEMENTS KIDOGO)

KUHUSU KIPIMO CHA ECG NACHO KWA SASA KIMESOMA SINUS ARRYTHMIA ( BORDERLINE ABNORMAL ECG)




HITIMISHO: Nimejifunza mengi sana kuhusu hili tatizo na maajabu kwetu hakuna mtu mwenye ugonjwa wa moyo wala magonjwa chronic yoyote ila ndo hivyo tu may be Mungu ndo kanipa mtihani wangu hapa duniani hivyo inabidi niishi hivyo.

TUMRUDIE MWENYEZI MUNGU KWANI KWAKE HAKUNA KINACHOSHINDIKANA
Unaendeleaj mkuu naomba mawasiliano yako nimepata shida Kama yako baada ya kujifungua naumwa mno nataman kujua umefanyaj had kupata nafuu
 
Unaendeleaj mkuu naomba mawasiliano yako nimepata shida Kama yako baada ya kujifungua naumwa mno nataman kujua umefanyaj had kupata nafuu
Soma uzi vizuri, alifanyiwa vipimo akaanzishiwa dawa, nenda hospitali
 
Back
Top Bottom