Mrejesho nimetoka mloganzila Sina ugonjwa wowote

Mrejesho nimetoka mloganzila Sina ugonjwa wowote

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Wakuu nawapa mrejesho wa shida zangu baada Jana usiku kichwa kuuma sana katikati ya utosi...nkaenda pima dispensary nkaambiwa nna UTI25 na hypoid

Leo nkaamkia mloganzila kwenye clinic yangu ya siku zote ya ugonjwa nao umwa wa tezi ..baadae nkaenda muona physician akaniandikia vipimo,mkojo,damu,fullbloodpicture,ecg na echo,hba1c,renal function....majibu yakatoka Sina ugonjwa wowote hakuna Cha UTI Wala typhoid.

Hizi dispensary mtaani nimajanga zinaweza kuuwa mtu aisee unapewa majibu ya ugonjwa ambao huumwi
 
Hawa wa mtaani siwaelewi utalaam wao, Niliwahi pima Tabora wakasema nina UTI sugu kesho yake nikarudi DOM nimepima zaidi ya mara nne sehemu tofauti wanasema sina UTI.
 
Wakuu nawapa mrejesho wa shida zangu baada Jana usiku kichwa kuuma sana katikati ya utosi...nkaenda pima dispensary nkaambiwa nna UTI25 na hypoid

Leo nkaamkia mloganzila kwenye clinic yangu ya siku zote ya ugonjwa nao umwa wa tezi ..baadae nkaenda muona physician akaniandikia vipimo,mkojo,damu,fullbloodpicture,ecg na echo,hba1c,renal function....majibu yakatoka Sina ugonjwa wowote hakuna Cha UTI Wala typhoid.

Hizi dispensary mtaani nimajanga zinaweza kuuwa mtu aisee unapewa majibu ya ugonjwa ambao huumwi
Hizo hela za vipimo ungenunulia konyagi
 
Wale watu mliosoma nao na walikuwa vilaza ndo hao leo wamekuwa madaktari
 
Back
Top Bottom