Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Rafiki hali inazidi kuwa mbaya nahitaji dua zenu ili niweze kupata unafuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushafanya zile supplementary zako na yule house gelo wenu mmefikia wapRafiki hali inazidi kuwa mbaya nahitaji dua zenu ili niweze kupata unafuu
Mwanaume kumtawaza mtoto ni sawa kweli?Rafiki hali inazidi kuwa mbaya nahitaji dua zenu ili niweze kupata unafuu
Kul nafs dhaarika tul mautMwanaume kumtawaza mtoto ni sawa kweli?
Kwa aina hii ya mada zako, wewe Kufwa tu!
Nilimeza hedex asubuhi na pia sasa hivi nimemeza tena hedexKama hujaenda hispitali mpaka mda huu na bado unasema umezidiwa tuu nakuona m'babaishaji
Ipi hiyo mkuusoma dua'a hii :-
Cha mno nn?!Naumwa
Kwani hedex inaponyesha?!Nilimeza hedex asubuhi na pia sasa hivi nimemeza tena hedex
Wakikuita unishtue me najiandaaMtaniita kwenye mazishi