Hallah
Member
- Aug 29, 2019
- 36
- 43
Natumaini hamjambo,
Mnamo tarehe 30/08/2019 nilipost ujumbe wenye kichwa cha habari kama kinavyosomeka hapo juu
Kwanza kabisa natanguliza shukrani kwa wale waliokuja PM kwa nia njema ya kunisaidia na bila ya kusahau na hata wale waliousoma na ku-comment ujumbe wangu
Wengi walikuja kwa lengo la biashara ya genge na mimi nikajaribu kudadavua yale ninayoyafahamu na kutoa michanganuo mbalimbali kuhusu biashara hii
Pia wapo walioniaminisha kwa kunambia nitafute eneo la biashara na kuahidi kuja home ninapoishi ili tufahamiane
lakini mpaka sasa ninavyoandika mrejesho huu hakuna yeyote yule Niliyefanikiwa kuonana nae wala kupata msaada kwa kile walichoniahidi hasa kuhusu biashara ya genge yaani namaanisha wameingia mitini
Guys naomba tuwe serious yaani mtu anakuahidi anakuja home mwisho wa siku haonekani anajaribu kutoa ahadi siku nyingine tena namsubiri home siku nzima pia haonekani na bila ya kutoa sababu
Kwa kweli ninashida sana na kazi ili niweze kukamilisha malengo yangu
Nimezunguka maeneo mbalimbali kwa lengo la kutafuta kazi lakini nimeishia kuombwa pesa ili niweze kupata kazi
Kesho j3 nitaanza tena kiguu na njia kwa ajili ya kujaribu tena kutafuta kazi maeneo mbalimbali
MBARIKIWE
Mnamo tarehe 30/08/2019 nilipost ujumbe wenye kichwa cha habari kama kinavyosomeka hapo juu
Kwanza kabisa natanguliza shukrani kwa wale waliokuja PM kwa nia njema ya kunisaidia na bila ya kusahau na hata wale waliousoma na ku-comment ujumbe wangu
Wengi walikuja kwa lengo la biashara ya genge na mimi nikajaribu kudadavua yale ninayoyafahamu na kutoa michanganuo mbalimbali kuhusu biashara hii
Pia wapo walioniaminisha kwa kunambia nitafute eneo la biashara na kuahidi kuja home ninapoishi ili tufahamiane
lakini mpaka sasa ninavyoandika mrejesho huu hakuna yeyote yule Niliyefanikiwa kuonana nae wala kupata msaada kwa kile walichoniahidi hasa kuhusu biashara ya genge yaani namaanisha wameingia mitini
Guys naomba tuwe serious yaani mtu anakuahidi anakuja home mwisho wa siku haonekani anajaribu kutoa ahadi siku nyingine tena namsubiri home siku nzima pia haonekani na bila ya kutoa sababu
Kwa kweli ninashida sana na kazi ili niweze kukamilisha malengo yangu
Nimezunguka maeneo mbalimbali kwa lengo la kutafuta kazi lakini nimeishia kuombwa pesa ili niweze kupata kazi
Kesho j3 nitaanza tena kiguu na njia kwa ajili ya kujaribu tena kutafuta kazi maeneo mbalimbali
MBARIKIWE