MREJESHO: shukrani kwa ushauri wenu, nimejua tatizo lililonisumbua kwa miaka mingi

silence noise

Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
54
Reaction score
29
Habari wana jf doctor. Ninayo furaha kubwa sana kuwajulisha na kuwashukuru wote kwa wawazo yenu nilipoleta tatizo langu la kichwa. Wengi mlinishauri kuwahi hospitalini, nilifanya hivyo lakini nilikwenda Muhimbili badala ya private baada ya kusikia wameboresha huduma. Nilifanyiwa ct scan ya kichwa na shingo na tatizo kuonekana shingoni, wanaita muscle spasm( misuli kukaza)
. nilipewa dawa na taratibu zingine za matibabu zinaendelea- mazoezi misuli ya shingo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gharama yake ni kiasi gani mkuu!?

from Katesh using Siemens C55
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…