Utaratibu wa kupata kazi upoje?Pia soma Ujira mdogo wa Tsh 4,600/ kutwa kwa vibarua muhimu kiwanda cha PESPI Mbeya plant. Dkt. Tulia nakuomba tembelea Kiwandani kuna wapiga kura wako
Huenda hii thread ilikuwa ni sababu naamini hapa kuna watu wa kila aina nafurahi ujumbe ulifika na kufanyiwa kazi.
Sasa hivi vibarua hao wanalipwa 7,100/= per day hii ni wiki ya pili wameongezewa pesa kutoka 4,600/= mpaka 7,100/=i
Vijana kazi zipo changamkia fursa ili upate pesa halali ili uweze kumudu mahitaji yako.
Haitoshi ata chumvi ya mawe. Labda Kibiriti.Matajiri bwana sasa hiyo Tsh 100 ya nini?
100 x 30 x 12 = 36,000 = Gunia la mahindiHaitoshi ata chumvi ya mawe. Labda Kibiriti.
Inaweza isiwe na maana kwa mtu mmoja, ila kwa tajiri analipa watu wengi.Matajiri bwana sasa hiyo Tsh 100 ya nini?
Aliyeshiba daima hamjui mwenye njaaInaweza isiwe na maana kwa mtu mmoja, ila kwa tajiri analipa watu wengi.
Kwahiyo ukilipa watu wengi hiyo Tsh 100 inakuwa pesa kubwa tu.
Tena ni Tsh 100 kwa siku, maana yake ni Tsh 3,000 kwa mwezi kwa mtu mmoja.
Nchi hii kuna watu masikini sana! Yaani Tshs.7,100/= kwa siku inakusaidia nini! Tujaribu kuwafundisha watu wetu kufikiri! Hizo ni kazi za watu wasiotaka kushughulisha vichwa vyao !
Nchi hii kuna watu masikini sana! Yaani Tshs.7,100/= kwa siku inakusaidia nini! Tujaribu kuwafundisha watu wetu kufikiri! Hizo ni kazi za watu wasiotaka kushughulisha vichwa vyao !