GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Niliona Matangazo yao kuhusiana na mafuta yenye kemikali ya Excellium.wakisema kuwa ni mafuta ambayo yanasafisha engine na kuifanya gari iwe nyepesi. lakini zaidi zaidi wamekuwa wakisema kuwa inasaidia kutumia mafuta kidogo ukilinganisha na mafuta mengine iwe ni kwenye Disel au Petrol.
kama kawaida niliamua kwanza kuingia kwenye mtandao.nikakuta ni kweli hata South Afrika wanatumia hii kemikali kwenye vituo vya Total. nikaenda kituo flan cha Total kariakoo.nikamuuliza muuzaji kuhusiana na hii kemikali.hakuwa na majibu yanayoeleweka zaidi ya kusema hafaham sana ingawa alienda training. so hakuweza kunishawishi. nikaenda kituo kingine mitaa ya karume baada tu ya mataa nikauliza nako nikakuta dada mmoja haelewi lolote kuhusiana na hii kemikali lakini wakati huo niki mhoji maswali akatokea kaka mmoja ambaye ni meneja wa hicho kituo.
huyu alisema akimsema yule dada kuwa unashindwaje kumwelekeza mteja na wakati ulienda training. akachukua jukumu la kunielezea.ikabidi nipark pembeni niache wateja wengine waendelee mimi nipate maelezo wanasema from the horse's mouth. jamaa akaelezea mengi sana ila haya ni mambo ambayo aliyagusia
1. inasafisha engine.
MIMI: hapa nilimuuliza inasafishaje? na ule uchafu baada ya kusafishwa engine unaenda wapi? maana najua unaposafisha kitu maana yake inabidi uchafu utoke.
YEYE : uchafu una dissolve humo humo.
MIMI: hapa nilipata ukakasi sana nikawaza kuwa kama nina kikombe kichafu nikaweka maji au juice ile juice ikaondoa ule uchafu ulionata pembezon ndani ya kikombe ila ukabaki humo humo nikaendelea kunywa juice je itakuwa safi?
WADAU: Nisaidieni hapa inakuaje kitaalam..mara nyingi uchafu wa engine nadhan ni some particles ambazo maybe zinasababishwa na msuguano au petrol/disel chafu.sijui nahitaj msaada
2. Inasababisha engine kuwa nyepesi
MIMI: week nzima iliyopita nimekuwa nikiweka hayo mafuta tena baada ya kuhakikisha yale mengine nimemaliza kwenye Tank nikaamua weeke nzima niweke Total Excellium. sijaona mabadiliko. gari ipo vile vile haikuwa nzito ila sijaona mabadiliko kuwa sasa labda ingekuwa nyepes zaidi.labda sijaona mabadiliko sababu gari ilikuwa nyepesi toka mwanzo.sijui
3.inapunguza ulaji wa mafuta
YEYE: anatumia gari ndogo ya hiace toka mbagala mpaka hapo kariakoo mafuta ya 10,000 anatumia siku mbili.
MIMI: toka kwangu mpaka kazini kwa gari yangu mafuta ya kawaida ya 15,000 natumia siku mbili bila wasiwasi na kutoka kwangu mpaka kazini kwenda na kurudi ni kms 26.
nimeweka mafuta hayo ya TOTAL EXCELLIUM ya 20,000 jumatatu nikiwa naelekea kazini lakini jana nimerudi gauge iko chini sana.sivyo nilivyotegemea kuwa angalau basi ingetumika kwa siku 3.
wadau naombeni uzoefu wenu kuhusiana na mafuta haya ya TOTAL EXCELLIUM. kama kuna namna ya kujibu hayo maswali kitaalam pia mnisaidie.ili pamoja wana genzi tuweze kujua kipi ni bora kwa matumizi ya magari yetu.
kama kawaida niliamua kwanza kuingia kwenye mtandao.nikakuta ni kweli hata South Afrika wanatumia hii kemikali kwenye vituo vya Total. nikaenda kituo flan cha Total kariakoo.nikamuuliza muuzaji kuhusiana na hii kemikali.hakuwa na majibu yanayoeleweka zaidi ya kusema hafaham sana ingawa alienda training. so hakuweza kunishawishi. nikaenda kituo kingine mitaa ya karume baada tu ya mataa nikauliza nako nikakuta dada mmoja haelewi lolote kuhusiana na hii kemikali lakini wakati huo niki mhoji maswali akatokea kaka mmoja ambaye ni meneja wa hicho kituo.
huyu alisema akimsema yule dada kuwa unashindwaje kumwelekeza mteja na wakati ulienda training. akachukua jukumu la kunielezea.ikabidi nipark pembeni niache wateja wengine waendelee mimi nipate maelezo wanasema from the horse's mouth. jamaa akaelezea mengi sana ila haya ni mambo ambayo aliyagusia
1. inasafisha engine.
MIMI: hapa nilimuuliza inasafishaje? na ule uchafu baada ya kusafishwa engine unaenda wapi? maana najua unaposafisha kitu maana yake inabidi uchafu utoke.
YEYE : uchafu una dissolve humo humo.
MIMI: hapa nilipata ukakasi sana nikawaza kuwa kama nina kikombe kichafu nikaweka maji au juice ile juice ikaondoa ule uchafu ulionata pembezon ndani ya kikombe ila ukabaki humo humo nikaendelea kunywa juice je itakuwa safi?
WADAU: Nisaidieni hapa inakuaje kitaalam..mara nyingi uchafu wa engine nadhan ni some particles ambazo maybe zinasababishwa na msuguano au petrol/disel chafu.sijui nahitaj msaada
2. Inasababisha engine kuwa nyepesi
MIMI: week nzima iliyopita nimekuwa nikiweka hayo mafuta tena baada ya kuhakikisha yale mengine nimemaliza kwenye Tank nikaamua weeke nzima niweke Total Excellium. sijaona mabadiliko. gari ipo vile vile haikuwa nzito ila sijaona mabadiliko kuwa sasa labda ingekuwa nyepes zaidi.labda sijaona mabadiliko sababu gari ilikuwa nyepesi toka mwanzo.sijui
3.inapunguza ulaji wa mafuta
YEYE: anatumia gari ndogo ya hiace toka mbagala mpaka hapo kariakoo mafuta ya 10,000 anatumia siku mbili.
MIMI: toka kwangu mpaka kazini kwa gari yangu mafuta ya kawaida ya 15,000 natumia siku mbili bila wasiwasi na kutoka kwangu mpaka kazini kwenda na kurudi ni kms 26.
nimeweka mafuta hayo ya TOTAL EXCELLIUM ya 20,000 jumatatu nikiwa naelekea kazini lakini jana nimerudi gauge iko chini sana.sivyo nilivyotegemea kuwa angalau basi ingetumika kwa siku 3.
wadau naombeni uzoefu wenu kuhusiana na mafuta haya ya TOTAL EXCELLIUM. kama kuna namna ya kujibu hayo maswali kitaalam pia mnisaidie.ili pamoja wana genzi tuweze kujua kipi ni bora kwa matumizi ya magari yetu.