eliva the king
Member
- Jul 9, 2022
- 39
- 32
Kwa mara ya kwanza nilikuwa humu kuandika kuhusu biashara ya nafaka hasa mahindi sidhani kama ina miezi miwili, naifanya na naendelea kuifanya, ifikapo mwezi wa kumi nitaleta majibu lakini tunakatishana tamaa kuliko uhalisia!
Nilipata comment nyingi sana na wapi mahindi yanapatikana, nilijifunza sana! Katika maisha usiogope ila chukulia kufanya kitu jaribu.
Nilipata comment nyingi sana na wapi mahindi yanapatikana, nilijifunza sana! Katika maisha usiogope ila chukulia kufanya kitu jaribu.