Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,727
- Thread starter
-
- #21
Hongera sana.
Ila ningekushauri pia shambani anza na robo heka. Ukivuna msimu wa kwanza then panda nyingine wakati unaguna mchumo wa pili robo au nusu heka
Hapo ni sawa umepata uzoefu wa kufuga kuku wa kienyeji wawili ( toka vifaranga mpaka wametaga na kutotoa vifaranga) ukasema sasa unataka kwenda shamba kufuga kuku wa kienyeji mia moja kwa mkupuo
Utapata matokeo ya kura za maoni, kigamboni.
Kwahiyo ni kama bamia tuu. Shurkan mkuuMfululizo means, unaweza kuchuma zaidi ya mara moja kwenye mche mmoja , kadri ya utunzaji wako, ndio utaweza kuvuna zaidi
Kwahiyo ni kama bamia tuu. Shurkan mkuu
Sawa takuchekiAsante sana mkuu, my contact 0654171555,
[emoji122] ila ukilima kilimo kikubwa baada ya faida usisahau kujipongeza [emoji482][emoji23]
Vipi mkuu naweza kupata wapi soko la mkojo wa sunguraHongera sana mkuu. Binafsi nina ndoto kubwa ya kulima pilipili kwa ufanisi wa hali ya juu, nilishawahi kujaribu kupanda demo bahati mbaya zilidumaa lakini nilivuna. Asante sana kwa kunitia moyo, nami nakutakia kila la heri katika kilimo cha pilipili.