brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Usiku wa kuamkia leo pale leaders kulikuwa na kilele cha Fiesta huku waandaaji wakijipambanua na kauli mbiu ya 100% local, yaani wasanii wote watumbuizaji wanatoka nyumbani.
Watazamaji-
Watazamaji kiukweli walijitokeza wengi hasa ukizingatia kiingilio kilikuwa sh
10000 na promo iliyofanyika watu hawakusita kwenda
Watumbuizaji/ wasanii-
Wasanii walijitaidi kuvaa vizuri kwa namna ambayo waliona watandeza.
Jukwaani-
Waandaaji walijitaidi kuwawezesha wasanii waimbe live band na hapa ndo tatizo kubwa lilipotokea
Wasanii wengi hawajui kuimba live band huku wakijiconnect na mashabiki hili lilisababisha show kupooza hakukuwa na shangwe
Wasanii wakifika jukwaani wanapiga story nyingi mpaka wanaboa mfano wasanii Jux na Vanessa mdee walitumia muda mwingi kuombana msamaa kuhusu mapenzi yao kuliko kupiga show
Kuchanganya Bongo movies na kuimba jukwaani
Mfano kitendo cha kuwapandisha jukwaani Ebitoke, Mama Ashura na Tausi kulibadilisha maana kutoka tamasha la music hadi kuwa la maigizo zikawa drama nyingi jukwaani hadi zinaboa
Ommy dimpoz kiukweli alizingua sana sijui tatizo hajui kuimba na live banda au alikamia sana kiwango chake kilikuwa chini sana kuliko hata wasanii wachanga
Wasanii waliofanya Vizuri
Rostam- roma na stamini walijitaidi sana kuleta amsha amsha
Rich Mavoko- alijikita zaida kuimba kuimba kuliko kupiga story jukwaani inawezekana kwasababu sio muongeaji sana.
Ben paul- alijitaidi kuwa mbunifu na kuimba vizuri alianza kuaribu alipompandisha ebitoke na kuleta maigizo
Nyandu toz na mr blue- walipiga show ya maana kuliko hata wale waliokuwa midomoni kwa watu
Jux na vanesa - walijitaidi japo walikuwa wanaboa kwa maongezi mengi jukwaani
Alikiba- alikiamua japo kulikuwa na tatizo la sauti, sijui ni mic yake ilikuwa mbovu au vyombo vya bendi ndo vilikuwa vinazingua, nadhani ndo kilichosababisha asiwe kwenye ubora wake.
Hitimisho
100% local ni wazo zuri la kujenga kujiamini kwa wasanii wetu ila nadhani bado tunapaswa kujifunza kutoka kwa wasanii kama Wizkid, Davido na Patoranking hawa wakiwa wanaimba live.
Watazamaji-
Watazamaji kiukweli walijitokeza wengi hasa ukizingatia kiingilio kilikuwa sh
10000 na promo iliyofanyika watu hawakusita kwenda
Watumbuizaji/ wasanii-
Wasanii walijitaidi kuvaa vizuri kwa namna ambayo waliona watandeza.
Jukwaani-
Waandaaji walijitaidi kuwawezesha wasanii waimbe live band na hapa ndo tatizo kubwa lilipotokea
Wasanii wengi hawajui kuimba live band huku wakijiconnect na mashabiki hili lilisababisha show kupooza hakukuwa na shangwe
Wasanii wakifika jukwaani wanapiga story nyingi mpaka wanaboa mfano wasanii Jux na Vanessa mdee walitumia muda mwingi kuombana msamaa kuhusu mapenzi yao kuliko kupiga show
Kuchanganya Bongo movies na kuimba jukwaani
Mfano kitendo cha kuwapandisha jukwaani Ebitoke, Mama Ashura na Tausi kulibadilisha maana kutoka tamasha la music hadi kuwa la maigizo zikawa drama nyingi jukwaani hadi zinaboa
Ommy dimpoz kiukweli alizingua sana sijui tatizo hajui kuimba na live banda au alikamia sana kiwango chake kilikuwa chini sana kuliko hata wasanii wachanga
Wasanii waliofanya Vizuri
Rostam- roma na stamini walijitaidi sana kuleta amsha amsha
Rich Mavoko- alijikita zaida kuimba kuimba kuliko kupiga story jukwaani inawezekana kwasababu sio muongeaji sana.
Ben paul- alijitaidi kuwa mbunifu na kuimba vizuri alianza kuaribu alipompandisha ebitoke na kuleta maigizo
Nyandu toz na mr blue- walipiga show ya maana kuliko hata wale waliokuwa midomoni kwa watu
Jux na vanesa - walijitaidi japo walikuwa wanaboa kwa maongezi mengi jukwaani
Alikiba- alikiamua japo kulikuwa na tatizo la sauti, sijui ni mic yake ilikuwa mbovu au vyombo vya bendi ndo vilikuwa vinazingua, nadhani ndo kilichosababisha asiwe kwenye ubora wake.
Hitimisho
100% local ni wazo zuri la kujenga kujiamini kwa wasanii wetu ila nadhani bado tunapaswa kujifunza kutoka kwa wasanii kama Wizkid, Davido na Patoranking hawa wakiwa wanaimba live.