Nawasalimu wana JF wote,
Rejea thread yangu ya kutafuta mume
Ninapenda kumshukuru Mungu Baba, Muumba wa vyote kwa kuweza kunikutanisha na mwenza wa maisha yangu ya hapa duniani,kwa hatua tuliyofikia sina budi kusema kuwa nimempata wangu.
Maana kule mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa,wote tutafanana na malaika watakatifu.
Ninapenda kushukuru uongozi wa JF kwa kuweka Love connect.
Pia ninapenda kuwashukuru wote waliojitokeza kutuma PM na waliotoa michango yao kupitia thread yangu.
Ninaomba Mungu awakumbuke na awajibu kwa kadri ya haja zenu.
Asante sana.
Rejea thread yangu ya kutafuta mume
Ninapenda kumshukuru Mungu Baba, Muumba wa vyote kwa kuweza kunikutanisha na mwenza wa maisha yangu ya hapa duniani,kwa hatua tuliyofikia sina budi kusema kuwa nimempata wangu.
Maana kule mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa,wote tutafanana na malaika watakatifu.
Ninapenda kushukuru uongozi wa JF kwa kuweka Love connect.
Pia ninapenda kuwashukuru wote waliojitokeza kutuma PM na waliotoa michango yao kupitia thread yangu.
Ninaomba Mungu awakumbuke na awajibu kwa kadri ya haja zenu.
Asante sana.