Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuhUskonde Mzee wangu siku ni moja.
Inabidi tumuulize process alizopitia hadi aipate, tunaweza kujifunza kituHili nalo la kuanzishia uzi?
Njia ni rahisi Sana.Inabidi tumuulize process alizopitia hadi aipate, tunaweza kunifunza kitu
Kwako mleta mada..
Sawa mkuu, Ahsante kwa muongozoNjia ni rahisi Sana.
Nilitumia kuongea nao kwa namba 100 alafu nikaona haitoshi nikatumia kuwasiliana nao kupitia What'saap.
Na Leo hii asubuhi wakaingiza pesa yangu 120000.
Inabidi uwe hasira na pesa yako.
Tuschukulie poa kwenye mambo ya hela.
Waje kwenye hili jukwaa kubwa Afrika masharikiHahahahaha inabidi waje tu mkuu
Hii ni taarifa kuwa ukifuatilia baada ya pesa yako kuchukuliwa na wajanja unaweza kuipata kupitia mitandao husika.Hili nalo la kuanzishia uzi?
Mama gani sasa, maana wapo wengi.Tunamshukuru Mama Kwa kuwezesha mwenzetu kurudishiwa fedha zake