boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,108
- 1,397
Oooh kuna thread humu ilikuwa imeanzishwa jins ya kutengeneza mkaa bila kukata miti, yaani ukiwa nyumbani hivyo leo nimefanya practical na kufanikiwa kutengeneza kama unavyoona kwenye picha hapo juuHaujaeleweka vema kabsa!maelezo yako ni hafifu!
Ok but kama hujaelewa umaweza uliza kama jamaa alivyoulizajipange upya don't feel we know what's u want to inform us
Mkuu umetumia mashine manual au ya umeme
Jana tu nimenunua kitabu leo nimetengeneza mkaa wa kisasa jumatatu jioni natarjia kuutumia na kuwapa majirani wautumie kwa majaribio
Nakaribisha wadau ambao wanatumia mkaa kwa wiki mnipe deals, nakaribisha partners wa hii project
Nimetumia mikono mkuuMkuu umetumia mashine manual au ya umeme
How? Si uongee kitu kinachoeleweka watu tukuelewe otherwise hukuwa na haja ya kupost hii hbr hapaNimetumia mikono mkuu
Nimetengeneza mkaa kwa kutumia vumbi la mkaa lisilohitajika na wauza mkaa na material mengine, kuna jamaa alieleza humu anauza kitabu chake jinsi ya kutengeneza na akatangazia machine zake lakini mimi sijatumia machine nimetengeneza kwa mikono tu kama kitabu kilivyonielekezaHow? Si uongee kitu kinachoeleweka watu tukuelewe otherwise hukuwa na haja ya kupost hii hbr hapa