Mrejesho wa mwezi mmoja baada ya kuacha kazi

Nadhani mengi ndo mtu wa kwanza kupata CPA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kibongo bongo nadhani ni yeye labda possibly sababu ya umaarufu wake tunahisi labda alikua wa 1,though hatunaga clear records/statistics za kueleweka za WaTanzania walioko nje na shughuli wanazofanya especially kwa miaka ile ya Kina Mengi.

Kuna familia nu wabongo tu wanaishi hapo Arusha naifahamu baba yao mkubwa alipata Phd mwaka 73 huko UK ni kitu cha kushtua miaka hio mtu kufika level na wala hakuna mtu anayem-recorgise labda pengine sababu sio watu maarufu.
 
Hongera mkuu,changamoto kwenye maisha hazikosekani,cha muhimu kuwa mbunifu na kuamini katika kile unachokifanya.Nina miaka 2 toka nimalize degree yangu ya kwanza,sijawah kuomba kazi ofisi yeyote,nafanya biashara zangu,na maisha yangu yanasonga namshukuru mungu..Tupambane mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani mengi ndo mtu wa kwanza kupata CPA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah sorry mkuu i thought umeongelea ACCA,kwa Tz Mengi sio wa 1 kupata CPA sababu alivyokuja Bongo na ACCA yake wkt anafanya CPA alifeli mara kibao mpk kuja kuipata imeshamchukua muda wa kutosha tu.,kulikua na watu wenye hizo CPA tayari.
 
Hell No,laana kama hizi mtoa mada zikemee kwa nguvu zote...uchawi huu👺
 
Hongera kwa kujiajiri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora umekwenda kwenye kilimo ungefungua duka/biashara wangekukamua mpaka ufunge, anyway good start keep moving ahead and God bless you
 
Yaan ndani ya mwezi tu yote hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…