MBUZI MWENYE BUSARA
Senior Member
- Nov 24, 2019
- 143
- 155
Karibu mwezi na kitu baada ya mke wangu kuwa na homework ya kutafakari umiliki wa nyumba niliyojenga kwenye kiwanja chake sasa amefunguka na kusema atapendelea tuandike Majina yetu wote (Mimi na yeye) kwenye umiliki wa hii nyumba.
Hata Mimi nimejipa muda wa kutafakari kwanza
Hata Mimi nimejipa muda wa kutafakari kwanza