Lakas Ganda
Member
- Nov 28, 2023
- 8
- 6
Kwa Niaba ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii (C H Ws) BUKOBA MANISPAA, MKOA KAGERA. Tunawashukuru sana Uongozi wa JamiiForums .
Baada ya kuripoti changamoto yetu February 2024 ya madai Ya posho ya uhamasishaji wa ugonjwa mlipuko wa Murbug Tangu March 2023.
Hivyo changamoto yetu ilitatuliwa 7/5/2024 malipo yalifanyika siku hiyo. Na wa Mwisho alilipwa 5/9/2024. Tunawashukuru sana Kwa msaada wenu.
Tuendelee na Mapambano.
Pia soma:
~ DOKEZO - √ - Malalamiko ya posho ya CHWs ya uhamasishaji wa kujikinga na ugonjwa wa mlipuko wa Marburg Bukoba
~ BUKOBA: Baadhi ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii waliokuwa wanadai 'pesa za Marburg' walipwa
Baada ya kuripoti changamoto yetu February 2024 ya madai Ya posho ya uhamasishaji wa ugonjwa mlipuko wa Murbug Tangu March 2023.
Hivyo changamoto yetu ilitatuliwa 7/5/2024 malipo yalifanyika siku hiyo. Na wa Mwisho alilipwa 5/9/2024. Tunawashukuru sana Kwa msaada wenu.
Tuendelee na Mapambano.
Pia soma:
~ DOKEZO - √ - Malalamiko ya posho ya CHWs ya uhamasishaji wa kujikinga na ugonjwa wa mlipuko wa Marburg Bukoba
~ BUKOBA: Baadhi ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii waliokuwa wanadai 'pesa za Marburg' walipwa