Mrema: CCJ ni matokeo ya kongamano la kina Butiku

Mrema lipa fadhila baba. Kumbe kila mtu anabei yake?
 
adui yako muombee njaa, maana CCM wamemuomba njaa Mrema na shetani kawasikia kamtia Lyaatonga njaa, nnjii bwana.
 
Naona huyu mzee anazeeka vibaya.

Hivi watu wa usalama wa Taifa wanajisema kweli? Akijisema sema hovyo mitaani kama Mrema sia anahatarisha maisha yake? Maneno ya Mrema yanatia shaka kama kweli ni mtu anayeweza simama kwa maslahi ya nchi yake ya Tanzania
 
What is CCJ? ikishapewa usajili tutajua tu waliomo, tuache speculation, tuwe na subira.
 
Tanzania ni huru na kila mtu yu huru mradi havunji sheria na katiba, mbona CCJ ni kitu ya kawaida tu na mkisikia ni chama cha bwana mkubwa mwenyewe anataka fanya ya mutharika mtasemaje?


Naomba Mungu iwew hivyo,Jk atakua hero wangu..but mhh!angeanza kuonyesha dalili za huo ujasiri
 
Hivi Mrema alipelekwa na nani vile kutibiwa India? Maana sidhani kama TLP inaweza kumgharamia kwa jinsi ilivyo jichokea
 
Bila shaka Mrema ameshapata uchovu wa kisiasa (political fatigue) baada ya ukweli kumdhihirikia kwamba katika Tanzania yetu hakuna political career nje ya CCM. Aidha, ameshakwenda mbali sana kuweza kurejea tena ndani ya Chama. Hivyo, kilichobaki ni kujaribu kujishikizashikiza tu. Wako wengine kama akina Wassira waliofanikiwa kurudi lakini hawa hawakuwa na stature ya Mrema. Kwa hali ilivyo sasa, TLP wajue hawana rubani na upinzani, kwa ujumla, umfute Mrema katika rasilimali zake. Na hakuna haja ya kumlaumu au kumkejeli sana zaidi ya kumuonea huruma tu.

Nafikiri Mh. Mbowe wa CHADEMA alikuwa na point aliposema kujenga upinzani Tanzania ni kazi ya maumivu sana. Mrema is now a spent force, could we say thanks to the nasty but brilliant strategy of the ruling party? Ona akina Maalim Seif & Co. kule Zenj wanavyotafuta njia mbadala baada ya kuugundua ukweli wa politiki za TZ. Imagine wapinzani kupigia chapuo hoja ya kumuongezea muda rais wa CCM!
 
Mrema ni B/S kabisa na nadhani ndiye aliyechangia kwa kiasi kikubwa kudhoofisha upinzani Tanzania.

Unfortunately mwaka 1995 nilipa kura yangu huyu Bogasi Mrema wakati akiwa NCCR-Magezui. Uchaguzi ule wa Oktoba ulinikuta nikiwa Dar ambapo niliweza kujiandikisha na kupiga kura yangu kwake baada ya kuhudhuria mkutano wake mmoja pale viwanja vya shule ya uhuru. Najuta sana kuwa nilipoteza hela yangu bure kwa kuendelea kukaa Dar eti ili nimpigie kilaza huyu kura yangu.
 
Code:
Tangu lini Mrema akawa mpinzani...sasa anajiibua mwenyewe kuwa ni pandikizi na boya la kuwaraghai watanzania. Hatujasahau kuwa enzi za utawala wa Mobutu kule Zaire alipandikiza makumi ya vyama feki vya upinzania!!!
Code:
Sasa mbona amekumbuka shuka Alfajiri?
 
mi nadhani umefika wakati mrema atafute mbinu mpya tushamgundua zamani kuwa ni kibaraka wa uharibifu wa hari ya hewa katika siasa za bongo, ye ndiyo alikuwa wa kwanza kushauri watanzania kuuheshimu umaruhani wa mwenzie shekhe yahaya toooooooooooka pepo mkuu wa kuzimu kwa jina la YESU huna mamlaka tena katika akili za watanzania
 
Hivi alipokwenda India hakupimwa na akili yake kama iko sawa sawa? Hapo alipata tiba ya ugonjwa gani maana naona ugonjwa wa kisukari ulikwisha athiri na ubongo wake. Si bure.
Naona sasa anatutishia na usalama wa taifa sijui anadhani ni enzi zao walivokuwa wanatutisha kwa kuhesabu vizibo vya soda na bia tunazokunywa?
Leo hiyo si kazi ya kutishana Mrema. Umekwishnei.
 
kila mtu alikuwa anajua kuwa Mrema akirudi lazima aropoke. si arudi CCM basi tujue moja.
 
Bravo Mh. Mrema...uwe unaingia hapa JF mara moja moja!
 
""Kuna sources zinasema kuwa CCJ ni creation ya Rostam, ni 'red herring' ili kuwafanya watanzania kuacha kufuatilia mambo muhimu yaliyopo kwa sasa kama Utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond"" Kama ni kweli basi haka kagabachori ni ka thinker!
 


Sources zipi zitaje
 
anayoyaongelea mrema sometimes yakipuuzwa yanaweza kuhatarisha usalama wa nchi...tuchukulie mfano huko madagasca nchi haina amani..WHY..kwasababu the current president Rajoelina was a DJ kwenye redio moja..nae alikuwa akisema maneno ya uchochezi kwenye redio kwamba raisi Ravolonmana ni mwizi, fisadi hafai and so on. then wat happen, wananchi wakaona hawawezi kuongozwa na raisi fisadi. wakishirikiana na DJ and the army, the president was cast out..then they made Rajoelina the president. wakati anaapishwa he was only 33 yrs old kinyume na katiba ya madagasca....na mpaka sasa nchi haina amani.

what i am tryn to say, Butiku and the rest wangeweza kusema hayo maneno kwenye halmashauri ya CCM or kamati kuu ya CCM kwa sababu yanamuhusu bosi wao. sasa wao wakaropoka tu.kikwete amezungukwa na wezi, the president is compromised, raisi hawezi kufanya maamuzi mazito, 2010 tumtose

maneno kama haya ni ya uchochezi, na wanatuambia wananchi ili tufanye nini, kwamba kikwete hatufai tuwachague wapinzani, or what. wanataka sisi tumchukie raisi pekeyake or CCM kwa ujumla, sasa tukimtosa raisi tumweke nani?

thats my opinion on what Mrema is tryn to say. na hiyo CCJ nmesikia inawahusisha watu wa rwanda or burundi not sure...


but wat i no for sure 2010 will be the year tanznians we will never forget.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…