Nawewe umo Meku..
Ndugu unachekesha sana ...sanchoka ndo mavitu gani hayo, unafikiri kujifunua ovyo mbele ya watanzania ndo ishu? Ana nini anachofanya ama kumiliki kwa mfano ...au hizo pesa za kupewa kwa kujifunua ovyo.?
Acheni kumfananisha Sanchoka na vitu vya ajabu jamani
Duh kwema huko meku? Mbona ghafla bin vuu?Nawewe umo Meku..
Nipo Kirwa, Amrushu.
Sasa mkuu kumbe wewe unapenda kuwa Marioo samahani sana mi nilikuwa naangalia uzuri tu nisamehe chief kwa kutojua ambition yako na kudandia treni kwa mbeleNdugu unachekesha sana ...sanchoka ndo mavitu gani hayo, unafikiri kujifunua ovyo mbele ya watanzania ndo ishu? Ana nini anachofanya ama kumiliki kwa mfano ...au hizo pesa za kupewa kwa kujifunua ovyo.?
Na ni vishilingi vingapi...
unamfahamu jackie appiah vizur wewe..
kati ya matajiri wacheza filamu wote nigeria, yeye ni namba 4 wa utajiri wa Bilioni 1.7 za madafu yenu hapa tanzania endorsements za kutosha, na bado kampun kubwa zinahaha kupata saini yake tu
unafikiria mfano kusain mikataba ya pesa kubwa sharti ujifunue funue ovyo na kukaa uchi na kujianika instagram? Think again.
View attachment 580873
Acha ushamba ...hoja yako ni umariooSasa mkuu kumbe wewe unapenda kuwa Marioo samahani sana mi nilikuwa naangalia uzuri tu nisamehe chief kwa kutojua ambition yako na kudandia treni kwa mbele
Naona kijeba kina hips.
Acheni kumfananisha Sanchoka na vitu vya ajabu jamani
Sina uhakika.Nasikia ana UKIMWI OG.
Yaani HIV type 1
Unampenda au unamtamani?Mkuu acha kabisa huyu dada, me hata Mungu ananiona hakika nampenda bure toka ndani ya mtima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Inni Edo bhana cyo Idd El fitrSina uhakika.
Ila kuna filamu 1 nilimuona Amepurukuta mwili
Kama siyo yeye
Tuombe usiwe Ukimwi jamani
Pia.kuna Idi Edo.
Mzuriiiii
Alifungaga.Ndoa ya Kifahari Na Tajiri mmoja Mnigeria wakaenda zao US
Kitambo.kidogo watengana
So sad.
Sasa analeo watoto wa kuasili mapacha
Watu wanamzonga why asizae wake??
Wasijue kuzaa nako ni majaliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahaaa.....Mkuu acha kabisa huyu dada, me hata Mungu ananiona hakika nampenda bure toka ndani ya mtima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnnhh.. Splendid....
Her eyes thou
Ongeza sauti tusikie wote.Nasikia ana UKIMWI OG.
Yaani HIV type 1