Mrembo aitwae Suzan Labia amefunguka wazi mapenzi alionayo kwa Millard Ayo

Labia ni jina la ukweli au utani duh

Baadhi ya makabila wanaofanya tohara kwa wanawake huwa wanakata mpaka labia halafu wanashona jeraha, hii ipo sana Somalia na Ethiopia
 
Dah! Watu kujifanya mabikra imekuwa dili now days [emoji5]
 

Kick
 
Huko kujitunza bikira wala sio kigezo cha kuwa mke mzuri. Asubiri Millard aamue. Yamekuwa yale yale ya Ebitoke na BenPol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…