plz nenda Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More utakuta mabroiler wengi tu.nina miaka 26 nina g.f ambaye yuko mbali kwa sasa sijaoa. umbo la wastani kg65, urefu cm164 napenda sana mpira situmii kilevii sipendi kwenda club elimu yangu ya juu... natafuta mrembo wa kuniondolea upweke sio kimapenzi siku za wekend awe na umri wa 20-30 awe mpenzi wa soka asiwe mlevi elimu kuanzia f4..... awe mkaazi wa jiji la dsm ukiitaji ni P.M Karibu
mmmh! muondolewa upweke mwenyewe mkali!!!haya bibie ila elewa nilichoandika hapo kama ww hutaki kaa kimya quotation yako pia inaonyesha umesoma ila hukuelewa niko single sina familia this room is for those ho looking for frends kila ki2 kiko wazi so b4 u replie any threat wread and understand it...... kwa nini ww uko humu unaitji mchumba ama mpenzi??